jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Swali la kujiuliza ni kuna haja gani ya kuwa hata na chaguzi ilhali tunajua kabisa mwisho wa siku CCM ndo atatangazwa mshindi?
...hili swali la msingi sana, hata wakimuondoa Magufuli kwa mizengwe kwenye chama chao, wakasimamisha kibuyu bado kitashinda tu, kwanza huyo Magufuli alishinda, au alishindishwa?!
Uzi wa kipuuzi.