Kwa kasi hii maendeleo lazima

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica
 
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica

Bado sana kwanza utakuwa unyanyasaji
 
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica

huu upuzi ndo wa kuuleta humu jf.marekani ni matajiri lkn bado wanaomba msaada.watati wao wana mifumo na sheria kali za kodi lkn wanaomba misada leo hii iwe tz nchi ya wezi na wapigaji.vitambulisho vyenyewe bado vimeenda kwa matajiri ati wao pia ni machinga.ww hujui yanayoendelea huo uzi wako futa humu jf unatia kichefuchefu.
 
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica

Wazo ni njema kama tunakubaliana matumizi ya Mapato husika.
Haiwezekani Mama lishe alipe 5000/= ili hali hapa Panadol hawezi kununua alafu wasanya Kodi wanakuja na Gari V8 Mpya ya dhamani ya milioni 100+ Tsh.
Huko lazima tukwame maana huwezi kamua ng',ombe huku malisho hakuna. Nilitaraji leo hii Serikali ingekuwa na Kanuni (Sheria) kwenye Matumizi ya Vyombo vya Moto. Ili kupunguza gharama za uendeshaji.

Mfano.
Mkurugenzi- Land cruiser ya Kati
Dc-Land cruiser ya Kati
RC- Land cruiser ya Kati
Mawaziri -Land cruiser Ya Juu kidogo.
Hivyo hivyo Maofisini thamani zinatakiwa kuendana na hali yetu.(Kubana Matumizi-ilikuimarisha Uchumi)
 
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica
Mkuu Ecylopedia Britannica, kwa uzi huu, nimekuvulia kofia!, kumbe ni uzi wa Aug 17, 2016!.

Kiukweli Tanzania tutapaa kimaendeleo.
P.
 
huu upuzi ndo wa kuuleta humu jf.marekani ni matajiri lkn bado wanaomba msaada.watati wao wana mifumo na sheria kali za kodi lkn wanaomba misada leo hii iwe tz nchi ya wezi na wapigaji.vitambulisho vyenyewe bado vimeenda kwa matajiri ati wao pia ni machinga.ww hujui yanayoendelea huo uzi wako futa humu jf unatia kichefuchefu.
umeangalia ni uzi wa lini huo haha eti ni upuuzi wa kuleta Jf
 
Mkuu Ecylopedia Britannica, kwa uzi huu, nimekuvulia kofia!, kumbe ni uzi wa Aug 17, 2016!.

Kiukweli Tanzania tutapaa kimaendeleo.
P.
nilimvulia kofia kitambo jamaa kuna uzi mmoja aliandika kuhusu wapinzani na masuala ya kimataifa sijui ICC nilianza kuogopa, sijakaa sawa akaandika ya Waitara kuwa naibu waziri, sijakaa sawa nikaona mwingine wa Mkuu wa TISS kwenda ikulu kumdhoofisha Membe basi nikaamua nimvulie kofia kama bwana Evarist Chahali niliona sehem ana comment kuhusu Britanicca
 
nilimvulia kofia kitambo jamaa kuna uzi mmoja aliandika kuhusu wapinzani na masuala ya kimataifa sijui ICC nilianza kuogopa, sijakaa sawa akaandika ya Waitara kuwa naibu waziri, sijakaa sawa nikaona mwingine wa Mkuu wa TISS kwenda ikulu kumdhoofisha Membe basi nikaamua nimvulie kofia kama bwana Evarist Chahali niliona sehem ana comment kuhusu Britanicca
naukumbuka wa muzamiri kalokola kuwa muhaya anayegombea urais na atatoswa membe na lowassa achukuliwe magufuli hihihihi ngoja nicheke kihutu,

huu mpango wa kuwatoza hela wananchi hasa kale ka iringa kajinga sana eti kila mtu awe na kitambulisho si ujinga huo
 
Back
Top Bottom