britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,212
- 41,790
- Thread starter
- #61
nambieMwana Jumuiya mstaafu naona maono yako.
nambieMwana Jumuiya mstaafu naona maono yako.
Poa Mkuu mambo kitaa magumu , au Sera za Uchumi ndiyo kikwazo.nambie
Pesa yetu akahongwe mbunge ili ajiunge CCM agombee tena achaguliwe tena maendeleo ni ndoto za mchana tunaongozwa na washambaTatizo sio kulipa kodi, tatizo KODI yangu inatumikaje? Nikihoji naletewa police! Haingii akilini kodi yangu ninayo itoa kwa jasho CAG asiruhusiwe kukagua kama imetumikaje?
Yani KODI yangu chama twawala kikafanyie kampeni kweli?
KumbePesa yetu akahongwe mbunge ili ajiunge CCM agombee tena achaguliwe tena maendeleo ni ndoto za mchana tunaongozwa na washamba
YesPesa yetu akahongwe mbunge ili ajiunge CCM agombee tena achaguliwe tena maendeleo ni ndoto za mchana tunaongozwa na washamba