Kwa kasi hii maendeleo lazima

Kwa kasi hii maendeleo lazima

Pelekeni kwanza madawa hosp...!alafu mimba yangu ya mwisho eti nilichajiwa kadi ya kupimia mimba..nikitoa 2000..niliudhika balaa...!malizeni mambo ya muhimu nitachukua....tafuta boss yyt wa TRA ukae naye akueleze jins wanavyopata shida kwenye ukisanyaji..makusanyo yamedoroa dorooo..yamefubaa km uso wa Mwita Waitara😏
Madawa hospitalini yapo mbona bohari limejaaa
 
yawezekana aisee
MKUU britanicca HUU MPANGO MWAKA 2016 NILIKUWA NAMUONA JAMAA MMOJA KARIBU NA STENDI YA BUZURUGA MWANZA AKIUHANGAIKIA,ILIKUWA NI IDEA YAKE NA ALIKUWA AKISEMA SIKU MOJA NITAFANIKIWA TU...IKO HIVI IDEA HII ALIMPA KIKWETE ILI HAIKUFANYIKA JAMAA AKAHUSTLE KIPINDI CHA KAMPENI 2015 JK AKAMUUNGANISHA KWA JAMAA,SIKU MOJA AKIONGEA NILI MCHALLENGE SANA .ILA YEYE ALIKUWA AMELENGA MACHINGA KWELI SIYO INAVYOFANYIKA SASA HIVI..SORRY KWA KUANDIKA KWA CAPITAL LETTERS,NA INSIST TU...NAJUA HUKO ALIKO KESHAPATA HELA YAKE ILA HUU MRADI NI HOPELESS KABISA LEO KUNA MASOKO MACHAFU NA ULINZI SHIDA SABABU UBISHI WA KUTOA ZILE 500 ZA KILA SIKU,MBAYA ZAIDI HIZI HELA ZA VITAMBULISHO ZINAENDA KULIPIA MAFUTA NA SERVICE ZA MAGARI YA KIFAHARI Y AKINA BASHITE.DAMN IT
 
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo

Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet zamani, kila mwananchi alipewa kitambulisho, kuanzia wafanya biashara wadogo wadogo, walilipa Russian rube kadhaa,

Nimesikia
1.Machinga wote kusajiliwa nchi nzima kupewa vitambulisho, kila mkoa utapewa target, na wilaya kila kitambulisho itakuwa 5,000

2.Mama liishe wote
3.Boda Boda wote
4.Wenye maduka madogo madogo
5.Wafugaji
6.Wakulima
7.wafanya kazi wadogo wadogo

Hela hiyo itasaidia sana kwenye kuyatatua Matatizo kuliko kuomba omba nje,

Watanzania wapo 50,000,000 Wenye uwezo wa kuzalisha ni, 20,000,000
Hivyo 20,000,000 times 5,000 ni 100,000,000,000 kwa Mwezi, ni hatari

Britannica
Madini yakishaisha ndo tutakapo elekea
 
Eti kila mwananchi anapaswa kulipa kodi vichekesho,mbona hao wenye vipato vikubwa kama mawaziri na wabunge hawalipi izo kodi?
 
Mkuu britanica hii nchi unaijua vilivyo kabisa huwa nafuatilia Sana Mada zako umekuwa Kama mtabiri mkuu

Hii Mada n ya 2016 lakn Ndyo yanatokea Leo uliniacha hoi hasa sakata la mbunge wa ukonga kuwa naibu wazir na akawa kweli

Inaonekana upo jikoni Sana mkuu maana si kwa utabiri huu mkuu
 
Ila haya mambo yanawezekana JPM akaze tu buti hata wakitoa buku3 muhimu tu zisitafunwe na wajanja zitasaidia mno kuleta huduma kwa jamii...
 
Mkuu britanica hii nchi unaijua vilivyo kabisa huwa nafuatilia Sana Mada zako umekuwa Kama mtabiri mkuu

Hii Mada n ya 2016 lakn Ndyo yanatokea Leo uliniacha hoi hasa sakata la mbunge wa ukonga kuwa naibu wazir na akawa kweli

Inaonekana upo jikoni Sana mkuu maana si kwa utabiri huu mkuu
Mkuu za siku
 
Eti kila mwananchi anapaswa kulipa kodi vichekesho,mbona hao wenye vipato vikubwa kama mawaziri na wabunge hawalipi izo kodi?
Kodi ya kichwa,asiyoweza kagua CAG ya kumnufaisha baba Na mwana, nasubiri siku MTU aniulizie juu ya kodi hii ya kichwa nilale nae mbele
 
Back
Top Bottom