Kwa jinsi wanawake wa CHADEMA walivyokuwa wakimshangilia Samia, naamini chuki ni za kupandikizwa, na hazijafanikiwa

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,006
20,683
Kwa shangwe kubwa la wanawake wa Chadema, ni wazi kwamba wananchi wengi Wana Imani na SSH na CCM. Chuki nyingi za viongozi wa upinzani, hazijafanikiwa kukubalika na wananchi. Wananchi wakimuona kiongozi wao roho zao zinajaa furaha.

Sisi kama nchi, tuko sawa, ni kuweka mkakati wa kushughulikia chuki bandia, za kulazimishwa dhidi ya viongozi wetu na nchi yetu.

Pamoja na hao jamaa kuimba chuki kwa miaka karibu 30, maajabu, wanafunzi wa SoMo la chuki wameonyesha dhahiri hawataki mtaala huo.
 
Yaani hata kushangilia pale alipochomekea kuhusu Uchaguzi. Wakina mama wakashangaa!

Akachomekea
mungu hili ....lile ....watu kimya, wanashangaa.

With all due respect, chagueni. aidha muwe wainjilisti au muwe wanasiasa....hakuna in between. Especially pale mnapotaka kuigiza mineno ya Katiba za wenzenu, miundo ya majimbo za wenzenu ambao mnaodai wana Demokrasia.....msituchanganye, msituvuruge, msitukanyage.

Hivi huwa hamjiulizi wenzenu ulaya au marekani


...Huwa hawachagizi Baraka na Laaana katika hotuba zao, ujumbe wao kwa wananchi n.k kama mnavyofanya sasa hivi?..Kwanini?

Msimezeshwe Demokrasia this Demokrasia that, bila kujali au kwa kupuuza utamaduni wenu! Ongezeni na za kwenu!

Hata SSH anawashinda. Mnatambua hilo.
 
Kwa shangwe kubwa la wanawake wa Chadema, ni wazi kwamba wananchi wengi Wana Imani na SSH na CCM. Chuki nyingi za viongozi wa upinzani, hazijafanikiwa kukubalika na wananchi. Wananchi wakimuona kiongozi wao roho zao zinajaa furaha.

Sisi kama nchi, tuko sawa, ni kuweka mkakati wa kushughulikia chuki bandia, za kulazimishwa dhidi ya viongozi wetu na nchi yetu.

Pamoja na hao jamaa kuimba chuki kwa miaka karibu 30, maajabu, wanafunzi wa SoMo la chuki wameonyesha dhahiri hawataki mtaala huo.
Yale yilikuwa ni maadhimisho ya sikukuu ya wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom