KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
- Thread starter
- #81
Mkuu tpaul si vizuri kusakamana juu ya hili suala kiongozi hili ni JUKWAA HURU mkuu na ndio mana kila mmoja ana mawazo yake vile aonavyo mkuu na mtu huweza kusema chochote/lolote kwa vile mawazo yake yalivyo kiongozi. Mbona Chief-Mkwawa alishanijibu vyema tu mkuu na akanipa bundles zao na akaweka na link pia ya jinsi gani kuweza kujiunga na bundles za internet kwa mtandao aliouweka hapa jamvini kiongozi.
Sisi wote ni wamoja jamani na tupo hapa katika kusaidiana na kuelekezana kwa yale tusiyoyajua jamani tuweke pembeni tofauti zetu na tumshinde shetani wakuu.
Mkuu Chief-Mkwawa yaishe haya mambo kiongozi coz tunajua una mchango mkubwa mno kwa hili jukwaa kiongozi, hivyo tunaheshimu mawazo yako na tunathamini mchango wako pia mkuu, tusameheane kwa yote tu wakuu.
HESHIMA KWENU WAKUU. THANKS.
Sisi wote ni wamoja jamani na tupo hapa katika kusaidiana na kuelekezana kwa yale tusiyoyajua jamani tuweke pembeni tofauti zetu na tumshinde shetani wakuu.
Mkuu Chief-Mkwawa yaishe haya mambo kiongozi coz tunajua una mchango mkubwa mno kwa hili jukwaa kiongozi, hivyo tunaheshimu mawazo yako na tunathamini mchango wako pia mkuu, tusameheane kwa yote tu wakuu.
HESHIMA KWENU WAKUU. THANKS.
mkuu, mbona maelezo yako hayajibu dukuduku ya mdau unayemjibu? kwani yeye kakuambia anahitaji uniformity ya kila huduma katika kila eneo? ulivyojibu hv mtu atadhani una maslahi na tigo kumabe mshika pembe tu!
wewe ndio unadandia reply, muanzisha mada nimemjibu Kwengine na hicho ulichoni quote nimemjibu mwengine.
tuache kulalamika, badala ya kutafuta solution ya vitu sisi tunalalamika tu. hebu jifkirie wewe matusi yote uloandika juu umemsaidia nini muanzisha mada?
Last edited by a moderator: