We kweli kiande yani ngoma moja umeisikiliza unakuja huku jf na mihemko yako ...et fidq na joh hawamuwezi hebu kuwa serious na mihemko yakoDah! Kuna watu wanajua mpaka noma nimeskiliza ngoma ya huyu jamaa. Nadriki kusema jamaa anakuja kutake over game ya Hip Hop bongo nisiwachoshe Sana sikilizeni wenyewe ili dude
I think this guy is better than Fid qnimesikiliza uwezo wa jamaa kawaida sana ,,siku nyingine ukome kumfanansha na fid q
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikilia msimamo wako mi naona jamaa angebadili lugha hata Jay Z hamfikii.Mzee yusuph anaenda wasafi kwa mondi