NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 648
- 1,446
Hivi kama wakereketwa wa Bongo Flava tumeshindwa kabisa kuiweka bongo flava kwenye ramani ya mziki Africa? Maana hii movement ya Amapiano bongo imekuja kuimalizia kabisa bongo fleva na kuizika kabisa.
Alianza Diamond kuikatia tamaa bongo fleva,wakaja akina Nandy,Marioo, Mtaalam Jux naye kafuata upepo, Harmonize nae katembea na upepo wa Amapiano.
Kinachonisikitisha Alikiba alisema hawezi imba Amapiano ila na yeye kaunga mkono movement. Mkali na icon ya Hip hop Fid q naye kaunga mkono movement kageuka na kuwa Ngosha Wana man.
Ni huzuni kubwa kuiona bongo fleva inaangamia.
Alianza Diamond kuikatia tamaa bongo fleva,wakaja akina Nandy,Marioo, Mtaalam Jux naye kafuata upepo, Harmonize nae katembea na upepo wa Amapiano.
Kinachonisikitisha Alikiba alisema hawezi imba Amapiano ila na yeye kaunga mkono movement. Mkali na icon ya Hip hop Fid q naye kaunga mkono movement kageuka na kuwa Ngosha Wana man.
Ni huzuni kubwa kuiona bongo fleva inaangamia.