Kwa huu wizi mtandaoni hatari

Kwa huu wizi mtandaoni hatari

Mtu wa kinondoni hapigwi kiboya
Kino ndko kiwandani Sasa

Ova
Acha uongo wewe juzi tu amepigwa naniii akakimbilia mawee alaf anajidai kama kapigwa na watu wawili wakati tumeona ni moko tu
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Unaishi wapi!? Wizi mpya how? Huko kwenu labda ndo mpya
Mkuu usishangae kuna maeneo bado hata simu za mkononi ndo zinaanza kutumika baada ya minara ya simu kuwekwa hivyo usikute mleta mada yuko huko matombo ndo kaja mjini kwenye mazishi akahamia jumla
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
. .Nilidhani niko peke yangu! Hao patapeli walinipigia na mimi lakini sikufikia huko kwa kuwatumia hela maana maswali niliyompiga nayo huyo dume wa kwanza yalikuwa yanatoka Ahera!
Jamaa alikuja na gia hiyo hiyo kwamba kuna binti amekosea kutuma hela kwenye namba yangu je nimeziona?
Nikamuuliza kuwa wewe si ndio upo jikoni huki unaona nini? Si mumrejeshee?
Jamaa alipoanza kujiumauma, nikacheki no yake nikakuta ni ya Halotel halafu anajifanya ni staff wa Vodacom!!
Akaishia kutishia kuwa no yangu ingefungiwa huduma ya Mpesa, nikamuambia akifanya hivyo ahakikishe kuwa ana Visa na Passport ya kwenda kuishi Mongolia maana hapa Bongo hataishi tena! Tukaishia hapo na sikuwasikia tena...!!
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Ushamba Wa mitandao utawafanya mpigwe sana mjini...
Siku hizi pesa ikikosewa inarudishwa na voda wenyewe. Sasa wewe kiherehere cha kurudisha kimekuponza..
 
Kwa hasira tuma tena na wewe uwapigie uwatapeli hivyo hivyo
 
Haha juzi nilipigiwa simu na mtu hivyo hivuo sasa nikawa nshapata habari kuhusu huu wizi mpya nikamwambia. Mpaka nione hiyo hela Mara ghafla hela ikaingia nkwambia nimeiona ngoja nirudishe
Fasta nikatoa maana kuna namba za wakala ninazo kichwani anataka kurudisha kashindwa
Akanipigia eti nirudishie hela yangu nkamwambia kwani wewe joha nimemrudishia joha uliesema kakosea katuma kwangu nikawa nimemtapeli tapeli ili akome na hiyo hela nimeitoa safaka kwa mam mmoja mgonjwa sana jirani yetu


hiyoo ndo dawa yao
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Wajinga ndio waliwao
 
Kama kuna anaye wafahamu hayo majamba wazi naomba basi muwape namba yangu nimemiss kutapeliwa
 
Hawa watu huwa wanashirikiana na customer care wa voda. Cha kwanza wanawatumia wajue unabalance kiasi gani.

Ila ulichotudanganya ni kuwa walikutumia 17000 alafu wakairudisha apo hapo. Hii kitu haiwezekani. Muamala baada ya kurudishwa, pesa hukaa hewani kwa muda hadi masaa 24. Voda watakupigia wewe kuconfirm kurudisha iyo pesa ndyo wananrudishia aliyrkosea kutuma.
 
Ila we test man ujue wewe ni expert member humu jukwaani jf kutapeliwa ki makamba hivyo unatuaibisha expert wenzako humu
 
Unaibiwa kirahisi hivyo?

Kama ni customer cares ungemwambia afanye yeye simple
 
Hawa watu huwa wanashirikiana na customer care wa voda. Cha kwanza wanawatumia wajue unabalance kiasi gani.

Ila ulichotudanganya ni kuwa walikutumia 17000 alafu wakairudisha apo hapo. Hii kitu haiwezekani. Muamala baada ya kurudishwa, pesa hukaa hewani kwa muda hadi masaa 24. Voda watakupigia wewe kuconfirm kurudisha iyo pesa ndyo wananrudishia aliyrkosea kutuma.
acha uongo bana,muamala ukiisha urudisha unasoma Uturn huwezi ukaofanyia chochote hiyo pesa,kwanza kwako haionekani tena,siku hizi hiyo hiduma ipo,unaifanya mwenyewe uliyekosea si mpaka uwapigie voda.

ukiishaupa direction ya kurudi ulikotoka,ni mpaka zoezi likamilike ndio,utakuwa na nafasi ya kufanya kitu kingine.
 
Back
Top Bottom