Man utd usiifananishe na vitimu vya kibongoMani yuu ni kama simba tu wakati wa usajili.
Ndiyo maana nimetumia neno "kama" nikimaanisha kwa misimu kadhaa sasa wamekuwa wanafanya usajili, ila ligi ikianza kuchangamka! Mambo yanawaendea kombo.Man utd usiifananishe na vitimu vya kibongo
Mkuu.
Sasa Ndoo Hizi Hizi Za Akina Mama Kuchotea Maji Zina Kazi Gani Kuzipata ?Msimu utakua wa moto maniue akichukua ndooo UCL na upuuzi mwingine
Timu ndio kwanza inajiunga unga mzee tulia kwanza tuangalie boli tukijaaliwa kuwa wazima sio unasema itakua mabingwa imfunge nani kwenye ile nusu ya msimu uliopita?Sasa Ndoo Hizi Hizi Za Akina Mama Kuchotea Maji Zina Kazi Gani Kuzipata ?
Man U Yupo Uefa Cl Msimu Huu?
Au Umeoteshwa?
Kwani mani yuu wako UCL au uko ndotoni?Msimu utakua wa moto maniue akichukua ndooo UCL na upuuzi mwingine
😂Mani yuu ni kama simba tu wakati wa usajili.
Bila Simba huwezi kuishi..Mani yuu ni kama simba tu wakati wa usajili.