Ipi ina madhara makubwa kwa nchi? Milioni 30 iliyoibwa au bilioni 100 iliyopotea?Hukumu tofauti hizo
1. Mganga ameiba, na anatakiwa kurejesha
2. Boss ATCL amesababisha hasara (haijatamkwa kwamba ameiba, yawezekana ni usimamizi mbovu)
View attachment 1900212
Mkuu, hizo ni hukumu tayari, ushahidi ulishafungwa 😂😂😂Ushahidi wa kuiba uko wapi ?
Linaangaliwa kosa, sio kiwango. Ukitumia nguvu kujaribu kuiba au kufanya uovu (ukivunja nyumba, ukiteka, ukitumia silaha), hata kama hukufanikiwa kuiba hela au mali yoyote, adhabu yake ni miaka 30 jela au faini au vyote viwiliIpi ina madhara makubwa kwa nchi? Milioni 30 iliyoibwa au bilioni 100 iliyopotea?
Unasema hivyo kwa kuwa haujui sheria na adhabu za ukiukwaji wa sheria hizoSiku zote huwa nasema afrika jela huwa ni kwa ajili ya watu masikini.
Ukiwa na pesa hukumu huwa tofauti
Labda Mataka alikuwa mpendwa "Afsa kipenyo"Hamna kitu kama hicho ulichoandika hapa, rejea zipo kila mahali kwenye vitabu vya sheria, na mara nyingi rejea hizo hutumiwa kuwahukumu wasio na kitu, lakini sio kwa huyo kigogo mwenye marafiki zake CCM, lazima wamlinde mwenzao.
Hata common sense inakataa, mtu apoteze bilioni 100 halafu alipe faini milioni 8!, upuuzi kabisa.
Nazungumzia upendeleo kwenye kesi,au upindishwaji wa hukumu.Unasema hivyo kwa kuwa haujui sheria na adhabu za ukiukwaji wa sheria hizo
Aiseee !!Nazungumzia upendeleo kwenye kesi,au upindishwaji wa hukumu.
Wote ni wezi kwann kibaka anapigwa mvua nyingi na fisadi anapewa hukumu ya kupiga deki wodi.
Asante kwa elimu ILA hapo sasa ndo udikteta unapotakiwa kwa asilimia zote. Mimi sioni tofauti kati ya aliyetumia nguvu kuiba na huyu aliyeiba kilaini kwa kiwango cha nguvu.Linaangaliwa kosa, sio kiwango. Ukitumia nguvu kujaribu kuiba au kufanya uovu (ukivunja nyumba, ukiteka, ukitumia silaha), hata kama hukufanikiwa kuiba hela au mali yoyote, adhabu yake ni miaka 30 jela au faini au vyote viwili
Bila kuitetea Mahakama, ni wazi umekimbia bila kusoma sawasawa. Kuiba na kusababisha hasara ni vitu viwili tofauti mno
Huyu mganga hakuwa na hata nusu ya fedha anayotakiwa kurejesha. Ingetokea angekuwa na hata nusu yake na angekubali waigawanye kifungo kisinge muhusu.Mkuu, hizo ni hukumu tayari, ushahidi ulishafungwa
Au haujasoma hapo, mbona pameandikwa waziwazi kwamba arejeshe sh. 30,850,000/= alizoiba?