Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,361
- 11,518
Watu walianza kututisha kuwa kutakuwa na baridi kali sana... jamaa mmoja akanambia yeye sasa atakuwa anaoga maji ya moto zaidi. Nimeshangaa ......... unawezaje kuoga maji ya moto Dar? Sisi ambao tumewahi kaa Iringa,Rukwa, Mbeya, Arusha, Ruvuma n.k ukituambia Dar kuna baridi tunashangaa... na hapo hapo tunagundua kwa nini wanaume wengi ambao wameishi Dar miaka yao yote wanakuwa na matatizo na nguvu za kiume. wewe mwanaume unaenda Oga maji ya moto. Kweli? huoni hata aibu?
ndo maana hata wanawake wengi wa Dar pia nimegundua hawana Utamu. inabidi waweke vitu vitu vingi sehemu zao ipatikane Ladha. Mara tu pipi, mara sijui jiwe gani, mara kuoeshea.... ili mradi tafrani. sababu miili yao haina joto kabisa. Usije ukagusa watoto wa mikoani. i wa moto ile mbaya... wanakuwa an joto sababu ya kuoga maji ya baridi na kuishi sehemu zenye baridi so miili yao inakuwa na jotoridi la hali ya juu sana.
leo nimekuja town nakuta watu wamejikumbatia sana. wamevaa masweta,jacket,coats n.k nawatizamana nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.... huu woga wanaishi nao vipi? hivi kweli Dar kuna joto la kujifunika blanket mtu unayekaa ilala, sinza, kinondoni na magomeni? hilo joto li wapi? msidhanie kuwa mwanaume ni lele mama. mtu mzima kabisa anagombana na mkewe kwa kuwa hajachemshiwa maji ya kuoga Dar hii hii? miaka yangu zaidi ya 40 toka nizaliwe na kukulia hapa Dar sijawahi experinece baridi. nauliza hiyo hali ya Aphelion kwa huku Dar inakuja lini? ili nasi tupate baridi
ndo maana hata wanawake wengi wa Dar pia nimegundua hawana Utamu. inabidi waweke vitu vitu vingi sehemu zao ipatikane Ladha. Mara tu pipi, mara sijui jiwe gani, mara kuoeshea.... ili mradi tafrani. sababu miili yao haina joto kabisa. Usije ukagusa watoto wa mikoani. i wa moto ile mbaya... wanakuwa an joto sababu ya kuoga maji ya baridi na kuishi sehemu zenye baridi so miili yao inakuwa na jotoridi la hali ya juu sana.
leo nimekuja town nakuta watu wamejikumbatia sana. wamevaa masweta,jacket,coats n.k nawatizamana nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.... huu woga wanaishi nao vipi? hivi kweli Dar kuna joto la kujifunika blanket mtu unayekaa ilala, sinza, kinondoni na magomeni? hilo joto li wapi? msidhanie kuwa mwanaume ni lele mama. mtu mzima kabisa anagombana na mkewe kwa kuwa hajachemshiwa maji ya kuoga Dar hii hii? miaka yangu zaidi ya 40 toka nizaliwe na kukulia hapa Dar sijawahi experinece baridi. nauliza hiyo hali ya Aphelion kwa huku Dar inakuja lini? ili nasi tupate baridi