Watu wako mbele ya muda, watu walikuwa sahihi kupinga ile tume, Sote tunaona haijachukua muda mambo yote hadharani.
CCM ni matapeli, wakishafanya tukio lao wanaanza kufanya manipulations…. Manipulations zikigoma kufanya kazi ndio wanakuja kwa rangi zao halisi kama leo...
Tulikuwa sahihi kutokununua uongo wake na ile huruma yake fake ya kusimamisha wabunge kuwaombea waliouawa. Popote alipojifanya kuongea kiupole kabla ya leo alikuwa yuko kwenye misheni ile ile yakuwafanya watu wajinga.
Manipulation zimegoma, ameingia stage ya Crisis, this is her crisis na CCM yake.
Ni ngumu kuongoza kizazi cha sasa bila ukweli, haki na uwajibikaji, “atatawala” kwa mabavu sana ni heri tujiandae.