Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Au mtamuita kwenye Kamati ya Nidhamu?.
Gwajima ni mzuri akiwa anashambulia kutokea pembeni, ukweli ni kua Kwa Akili aliyonayo Gwajima, Hakustahili kabisa kua mwanaccm, alipaswa kua Mwanachadema .
Gwajima kawafutulia mbali CHAUMA, NJAA 55 NA GENGE LAO LA KITAHIRA LINALOONGOZWA NA WAHUNI WALIOKO KWENYE MFUMO.
Gwajima Katumia Mbinu ya Kushambulia kutokea pembeni.... Je naye atatekwa?? Atauwawa???
Gwajima ni mzuri akiwa anashambulia kutokea pembeni, ukweli ni kua Kwa Akili aliyonayo Gwajima, Hakustahili kabisa kua mwanaccm, alipaswa kua Mwanachadema .
Gwajima kawafutulia mbali CHAUMA, NJAA 55 NA GENGE LAO LA KITAHIRA LINALOONGOZWA NA WAHUNI WALIOKO KWENYE MFUMO.
Gwajima Katumia Mbinu ya Kushambulia kutokea pembeni.... Je naye atatekwa?? Atauwawa???