Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,802
- 2,965
Hahaha
Unakuta mdada ni full package mali haina kasoro t*ko, sura, mtindi, sauti hadi ubongo vipo biyeeeAsogee Mwenge na Makumbusho. Atajionea pisi za Dar zilivyo nyooka. Lol
Ila hizo sehem ni hatarii, sio wadada wala wakaka, ni wamenyooka haswaa. Unabaki kukodoa macho tyuuh. LolUnakuta mdada ni full package mali haina kasoro t*ko, sura, mtindi, sauti hadi ubongo vipo biyeee
Sasa amefikia vikindu sisi tuko down town huku tutaonana vipi jamani?? 😹😹Ngoja niwaite kama watanipopoa potelea mbali..
Mideko
Midekoo
Leejay49
cocastic
jannelle
Lamomy
nakwede97
Binti Sayunii
Bantu Lady nk
Mtu kafikia bunju sijui vikindu usafiri wa huko mpk wavutane km wana ugomvi halafu akutane na pisi kali kweli?? 😹😹😹Pisi kali huwezi kuziona ukiwa bom bom huko. Sogea mitaa ya Kino Clein ujionee wachumba wa kwenda.
Pisi kali mnakwepa kuonana na Ngosha 😹😹Niko Songea mie, Dar sipajui hata.
Hahahahahah wa Chitimbi huyoMtu kafikia bunju sijui vikindu usafiri wa huko mpk wavutane km wana ugomvi halafu akutane na pisi kali kweli?? 😹😹😹
Aje down town huku tumuonyeshe mji na bata zake..!!
Anajifungia ndani hizo pisi ataziona wapi sasaNgoja niwaite kama watanipopoa potelea mbali..
Mideko
Midekoo
Leejay49
cocastic
jannelle
Lamomy
nakwede97
Binti Sayunii
Bantu Lady nk
Kweli?Haujawaona hata wale waliongua ngozi za nyuso zao kwa mikorogo kudunda?Kwaio Dar hakuna pisi Kali🧐🧐🧐
Hii ni wiki ya pili sasa nipo hapa jijinina sijaona uhalisia WA dar wanayoisimuliaga kwenye stori🤣🤣
Nyie pisi Kali za dar mpo wapi??🧐🧐
Wiki inakata wakuu bila hata amsha amsha 🤣🤣🙏
Unakaa kijijini huko alafu mji aupendezeshe nani?😃Niko Songea mie, Dar sipajui hata.
Anahofia wote tukikaa mjini kuna hatari ya kukosa mahindi,mchele,nyanya na mkaa.Unakaaje kijijini huko alafu mji aupendezeshe nani?😃
🤣🤣Kibaha haipo Dar mkuu
Naomba kuwasilisha
Wee em sema kwelii?! 😂😂😂Unakaaje kijijini huko alafu mji aupendezeshe nani?😃
😂😂😂😂 uduguu, aaah wapiii?!Pisi kali mnakwepa kuonana na Ngosha 😹😹
HahahaKibaha haipo Dar mkuu
Naomba kuwasilishau
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sipo kibaha ndugu nipo magomeni apa🤣Kibaha haipo Dar mkuu
Naomba kuwasilisha
Sawa mkuu wach weekend niingie palenenda kitamba cheusi🤒
Watu wa mkoani na ushamba wao wakifika Magufuli stand ndo wanasema wamefika dar hadi wanapost status.Kwaio Dar hakuna pisi Kali🧐🧐🧐
Hii ni wiki ya pili sasa nipo hapa jijinina sijaona uhalisia WA dar wanayoisimuliaga kwenye stori🤣🤣
Nyie pisi Kali za dar mpo wapi??🧐🧐
Wiki inakata wakuu bila hata amsha amsha 🤣🤣🙏
🙏🙏 Asante San mkuu nasubir permission zao tu niwarukie pm🤣🤣Ngoja niwaite kama watanipopoa potelea mbali..
Mideko
Midekoo
Leejay49
cocastic
jannelle
Lamomy
nakwede97
Binti Sayunii
Bantu Lady nk
Mkuu ww ndio unaoneka ni WA mkoani kabisa nimekuambia Nina wiki mbili hapa kwaio hizo wiki mbili nashuka tu kwenye basi au nalala mbeziWatu wa mkoani na ushamba wao wakifika Magufuli stand ndo wanasema wamefika dar hadi wanapost status.