Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
Kiongozi kuna tangazo moja linalohusu jinsi ya kutatua migogoro kwenye ndoa sasa limedhaminiwa na watu wa marekani!
Oh really? Wamarekani ambao ndoa zimewashinda na ambao viwango vyao talaka viko juu.....? Wamarekani ambao wanaunda tovuti kama www.Ashleymadison.com? Wamarekani wanaotengeneza programme kama Cheaters? Miafrika bana....stupid beyond comprehension....