Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,863
- 830
Ndugu wanajamvi,
Nimeona ninene la kwangu kuhusiana na kampuni ya Simu TECNO.
Nimekuwa mtumiaji wa simu za Tecno kwa muda mrefu na hasa kwa hizi Smartphones tangu N3, P3 ........!
Lakini katika matoleo yote nilowahi kutumia leo naomba niwapongeze hadharani kwamba TECNO L6 wameitendea haki kwa suala zima la charge.
Tecno L6 ina uwezo wa kukaa na charge kwa muda mrefu ukilinganisha na matoleo mengine.
Hongera sana TECNO, hongera TECNO L6.
pole Sana kwa kuwa mkereketwa wa tecno mkuu, maana umekuwa mtumwa wa tecno Tena zile za 50000 kama P3.ukipata pesa nunua brand nyingine Kama htc, experia, Samsung nk. utajutia kuipa tecno sifa