M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Asubuhi ya leo katika taarifa ya habari ya Clouds FM nimesikia kuwa serikali imeshatoa uraia kwa wakimbizi wa Kisomali zaidi ya 4000 na kuna wengine takribani 1500 hasa wale walio maeneo ya Handeni Tanga nao wapo katika mchakato wa kupewa uraia kwa kuwa serikali imeridhika kuwa hawa ni KIZAZI CHA NNE CHA WAZIGUA waliohamishwa enzi za ukoloni na kupelekwa mashariki ya mbali na somalia. MY TAKE Sipingi hawa jamaa kupewa uraia lakini serikali imetumia vigezo gani kujiridhisha kwa hilo?...na nyie ndg zangu WAZIGUA kumbe wengi wenu ni wasomali.,sikujua hilo.