Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,766
- 18,620
Nyumbani kwenu kuna korona?Polisi wanaeneza korona waziwazi tena kwa makusudi kabisa.
hapo watashika watoto wangapi?
hii haikubaliki.
alisikika mwana..... Mmoja
Nyumbani kwenu kuna korona?Polisi wanaeneza korona waziwazi tena kwa makusudi kabisa.
hapo watashika watoto wangapi?
hii haikubaliki.
alisikika mwana..... Mmoja
Akili za watoto si za kuamini.Wanaweza kufika katikati ya barabara na kuanza kupiga stori au wanamangamanga na kutaka kurudi walipotoka.Usiwaamini.Ilitosha kuzuia magari watoto wavuke..
Hizo nyingine ni sifa za kijinga.
Hongera za picha, acheni kufanya manipulationHongera kwa askari wetu wanafanya kazi nzuri
jemaaaNimezikuta mahali. Nimependezwa nazo. Hakika wamefanya kitu kizuri kabisa kuwafunza watoto wetu matumizi sahihi ya barabara.View attachment 2008230View attachment 2008231
Kwa hiyo wapongezwe kipindi kipi ?Acheni kutoa pongezi pale mtu anapotimiza majukumu yake ya kawaida kabisa...
Hovyoo