Kutoka kunibania utamu mpaka kunigeuza ndama

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,247
103,953
Mimi ni kati ya wale ndugu wasiopenda kutongoza, ni mtu wa kuweka mitego tu bidada anaelewa mwenyewe hapa anaombwa utamu.

Mind you, huwezi mpata kila msichana kizembe namna hiyo. Hakika harakati zangu ziligonga mwamba mwaka mzima. Huyu mtu alikuwa akinipa sana muda wake lakini akawa hodari wa kukwepa mitego. Mwisho wa siku ikabidi mkuu wenu nitongoze tu hakuna namna. Pamoja na hilo bado sikujibiwa. Sikuumia sana kuhusu matumizi ya kibunda kwa sababu hakuwa kausha damu. Ni matumizi ya outing tu ambayo zilikuwa shobo zangu mwenyewe.

Muda ulivyosogea akawa kama kanikubalia kwa vitendo, lakini kwa mbaaaali sana. Muda wote akipata muda alinihitaji kwake tunakula na kunywa.

Kipengele ikawa kula mzigo, akabana tena kubana kweli. Mwisho nikachoka kulilia mzigo nikamwambia mimi nina give up. Siwezi kuendelea, nimependezwa na kila kitu ila sifurahishwi na kuninyima utamu. Kama utani nikasusa.

Nikiwa kwenye mikausho mikali, haachi kunitafuta. Mwisho akaamua kutulia kama miezi miwili hivi bila mawasiliano.

Ajabu uzalendo ukamshinda akarudi kunitafuta. Safari hii hakutaka maelezo mengi. Ukishika mikono tu unamkuta yupo kifuani anatalii.

Kisha amenigeuza ndama mwenye kunyonyeshwa maziwa usiku kucha. Bila kunyonyeshwa maziwa hamjalala. Maziwa imekuwa kama mswaki, kabla hujaamka unapiga la kushoto dk 10 la kulia dk 8. Simba Sc ikifungwa unanyonyeshwa maziwa utulize presha. Ikitoa droo utapewa ziwa kidogo kutoa wenge. Utopolo wakiwa na mechi unaulizwa kipi bora mechi ya Uto au kuyanyonya. Hata kama ni wewe ungechagua nini hapo?!!!!!!!! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ

My Take: Uzi unaweza kuwa hauna umuhimu wowote ila ni muhimu kwa ndama wenzangu
 
Mkuu kwani umetumia swaga za mwaka gani!! Siyo old version( Android 5.1) kweli hizo ๐Ÿค’๐Ÿค’???
 
Back
Top Bottom