Kwa hili namtetea Rais Magufuli!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,658
15,793
Kuna uwezekano mkubwa katibu mkuu mpya wa UN haijui vizuri jiografia ya East Africa na influence ya nchi mbali mbali za ukanda huu.

Vile kakurupukia takwimu za IMF na kuona kuwa Kenya ina uchumi mkubwa kanda hii, huyo akakurupuka kwenda kwa Kenyata.

Nadhani watakuwa wamezungumzia kuhusu amani ya ukanda huu wa Afrika mashariki na kati, na Kenyatta itakuwa kamwambia hii ngoma ni nzito kwa Kenya, ukitaka ifanikiwe kawaone Tanzania ndio wana influence kubwa kwa nchi za ukanda huu kuanzia Msumbiji, Congo, Rwanda, Burundi, Uganda to mention the few.

Si ndo huyo katibu kachanganyikiwa anapanda ndege usiku usiku aje amuone Magufuli, naye kakuta Magu 'keshahamia Dodoma'.

Siku nyingine hawa wazungu waache kukurupuka kurupuka.

Hapa Magu atakuwa amekataa kuwa mtu wa kuitwa itwa, na kutumwa tumwa kama Manji alivyomkatalia Makonda.
 
Kama hujui huyu alikuwa shirika la wakimbizi, Tanzania kaja Mara nyingi sana na nishakutana nae Mara kadhaa Kigoma, anaijua Afrika Mashariki kuliko unavyofikiri. Halafu jifunze kusomasoma uelewe, Kenya lilichompeleka ni kuhusi wakimbizi wa Somalia.
 
Kuna uwezekano mkubwa katibu mkuu mpya wa UN haijui vizuri jiografia ya East Africa na influence ya nchi mbali mbali za ukanda huu...
Vile kakurupukia takwimu za IMF na kuona kuwa Kenya ina uchumi mkubwa kanda hii, huyo akakurupuka kwenda kwa Kenyata... Nadhani watakuwa wamezungumzia kuhusu amani ya ukanda huu wa Afrika mashariki na kati, na Kenyatta itakuwa kamwambia hii ngoma ni nzito kwa Kenya, ukitaka ifanikiwe kawaone Tanzania ndio wana influence kubwa kwa nchi za ukanda huu kuanzia Msumbiji, Congo, Rwanda, Burundi, Uganda to mention the few.
Si ndo huyo katibu kachanganyikiwa anapanda ndege usiku usiku aje amuone Magufuli, naye kakuta Magu 'keshahamia Dodoma'....
Siku nyingine hawa wazungu waache kukurupuka kurupuka...
Hapa Magu atakuwa amekataa kuwa mtu wa kuitwa itwa, na kutumwa tumwa kama Manji alivyomkatalia Makonda...
Na hakujua na kuzingatia pia kwamba e.a.c kama jumuhiya kofia iko Tz kwa JPM. Hawa wazungu watakuwa walipata kizunguzungu si utani
 
a20c8ee50d1004d82729944e3d512403.jpg
d845491617ca799f3adb46947d1c9336.jpg
he he
 
Back
Top Bottom