Nchi zilizoendelea ni zipi hizo ambazo zina wamachinga? Au basi tu tunajisikia raha to compare the incomparable? Uende USA Uholanzi, Norway au UK ukutane na machinga anatembeza gurus hi ladies radio au furushi la nguo barabarani anauza? Uongo mwingine tuwe tunauogopa kama ukoma.Mmachinga akawe mkulima?huko nchi zilizoendelea wamachinga wapo pia