Kwa hili la ujenzi wa mnara wa mashujaa, Mkoa wa Kagera hautendewi haki

Kwaasenga

Member
Jan 28, 2023
73
102
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganga iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Ujinga ni mzigo mzito, Mnara unajengwa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya serikali.

Halafu ulivyo mjinga ukisikia mashujaa unawaza vita vya Kagera, hivi unajuwa tuna mashujaa wa vita ngapi?

Umeshawahi kusikia vita vya maji maji? Vita ya Mkwawa na Majeshi ya Wajerumani? Maveteran wa vita ya dunia?

Hovyoooooo.
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganga iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
MINARA ina TIJA gani kwa Umasikini wa Wananchi?Mnakusanya Makodi ili mjenge Minara
 
Ujinga ni mzigo mzito, Manara unajengwa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya serikali.

Halafu ulivyo mjinga ukisikia mashujaa unawaza vita vya Kagera, hivi unajuwa tuna mashujaa wa vita ngapi?

Umeshawahi kusikia vita vya maji maji? Vita ya Mkwawa na Majeshi ya Wajerumani? Maveteran wa vita ya dunia?

Hovyoooooo.
Ukijibu post usilete matusi. Ongea kwa facts. Mpaka leo Tanzania haijawahi kuwa na vita yenye impact kwa uchumi kama ile ya Kagera.

Nataka unieleze, ni impact gani uaniona kwenye uchumi kutokana na vita ya maji maji? Lakini ukiongelea vita ya Kagera, hata wewe impact yake unaina mpaka leo.
 
Ujinga ni mzigo mzito, Manara unajengwa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya serikali.

Halafu ulivyo mjinga ukisikia mashujaa unawaza vita vya Kagera, hivi unajuwa tuna mashujaa wa vita ngapi?

Umeshawahi kusikia vita vya maji maji? Vita ya Mkwawa na Majeshi ya Wajerumani? Maveteran wa vita ya dunia?

Hovyoooooo.
Kwa hiyo hii vita umetaja hapa imepiganiwa Dodoma?
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Dodoma wanachojivunia kama nchi ni kuwa omba omba wa Taifa...wameshaomba hata mnara ukajengewe kwao
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Achana na mnara wewe ndugu , omba stend nzuri, barabara nzuri, maji, shule nzuri kwa ajili ya watoto, hospitali.

Labda nikuulize kati ya mnara na huduma nyingine za kijamii unachagua nini?

Ni kipi ni priority ya Kagera kwa sasa ambacho unahisi wanakagera wanahitaji kukipigania?
 
Achana na mnara wewe ndugu , omba stend nzuri, barabara nzuri, maji, shule nzuri kwa ajili ya watoto, hospitali.

Labda nikuulize kati ya mnara na huduma nyingine za kijamii unachagua nini?

Ni kipi ni priority ya Kagera kwa sasa ambacho unahisi wanakagera wanahitaji kukipigania?
Haya yote yameshindikana ndugu yangu, yamepigiwa kelele kila siku lakini hakuna kitu. Tumeona serikali ya awamu ya tano ikijenga masoko na stand maeneo mbali mbali ya nchi lakini siyo Kagera.

Sasa tuwaombeje tena? Make wawakikishi wetu wamesema mpaka wamechoka.

Lakini na hili la mnara lazima tulisemee make linaendena na ujenzi wa miundombinu mingine. Hivyo hiyo miradi ingekuwa na impact kwenye maendeleo ya wananchi.
 
Ujinga ni mzigo mzito, Manara unajengwa Dodoma kwa sababu ndio makao makuu ya serikali.

Halafu ulivyo mjinga ukisikia mashujaa unawaza vita vya Kagera, hivi unajuwa tuna mashujaa wa vita ngapi?

Umeshawahi kusikia vita vya maji maji? Vita ya Mkwawa na Majeshi ya Wajerumani? Maveteran wa vita ya dunia?

Hovyoooooo.
 

Attachments

  • CC52B986-9B65-4D1E-B506-756B85ECB030.jpeg
    CC52B986-9B65-4D1E-B506-756B85ECB030.jpeg
    34.6 KB · Views: 5
Ukijibu post usilete matusi. Ongea kwa facts. Mpaka leo Tanzania haijawahi kuwa na vita yenye impact kwa uchumi kama ile ya Kagera.

Nataka unieleze, ni impact gani uaniona kwenye uchumi kutokana na vita ya maji maji? Lakini ukiongelea vita ya Kagera, hata wewe impact yake unaina mpaka leo.
Umaskini wa Kagera unatokana na uvivu wa Wanakagera hasa wasomi na matajiri wa Kagera wenye ubinafsi mkubwa na wasiopenda kwao. Mkajifunze Kilimanjaro namna ya kujitegemea na kuachana na kutegemea serikali.
 
Umaskini wa Kagera unatokana na uvivu wa Wanakagera hasa wasomi na matajiri wa Kagera wenye ubinafsi mkubwa na wasiopenda kwao. Mkajifunze Kilimanjaro namna ya kujitegemea na kuachana na kutegemea serikali.
Mm sikubaliani na ww. Kilimanjaro ilibahatika kuwa na viongozi ambao wameitengenza na ndo maendeleo kidogo unayoyaona. Mfano akina mzee Mramba (RIP). Hawa wamejenga mitandao ya lami na baadhi ya maendeleo. Pia ni mkoa ambao haujawahi kupitia vita kubwa kama ya Kagera

Zilitakiwa juhudi za makusudi kabisa za serikali kuurudisha ule mkoa katika mstari. Unaposema maprofessor wa kagera wabinafsi, unataka wao ndo wajenge stand? Unataka wao wajenge masoko? Unataka wao wajenge barabara? Je, hujui impact ya barabara, masoko na stand katika uchumi wa eneo?

Kuna muda pale Omukajunguti kulipangwa kujengwe uwanja mkubwa wa ndege kwa ajili ya kuunganisha chini jirani, serikali ya awamu ya tano ikaufuta. Unadhani ungejengwa ule uwanja si kungekuwa na fursa za ajira? Wewe uvivu gani unaouona kama miundombinu ya serikali ni mobovu?
Wanajenga magorofa mikocheni mwisho wanaishia makaburi ya kinondoni .
Unataka wao ndo wajenge stand na soko Kagera? Mikoa mingine maprofessor wao ndo walijenga hiyo miondombinu mikoani kwao?

Mbona tumeona stands zikijengwa mikoa kibao na serikali, kwa nini siyo Kagera?
 
Kwa mara nyingine tena mkoa wa Kagera unaachwa mpweke.

Kwa kujenga mnara wa mashujaa mkoa tofauti na Kagera ambapo ndo mkoa unaobeba historia ya vita na Uganda ni kuunyima mkoa huu fursa. Pale Bunazi kuna uwanja wa mashujaa unaitwa Chakaza, kwa nini hiyo miradi ya mnara wa mita 100 na kadhaa unaoenda kujengwa Dodoma usijengwe pale Chakaza?

Cha kushangaza ule uwanja hauna activity yoyote inayofanyika pale zaidi ya kufyekwa tu!

Vita ilileta athari kubwa sana mkoa wa Kagera hasa maeneo ya Missenyi ila hakuna compasation yoyote iliyofanywa na serikali, na hili la mnara wa mashujaa pamoja na hiyo miradi inayoendana na mnara bado serikali inainyima Kagera?

Ukweli hapa ni kwamba aidha wawakilishi wanaotoka mkoa wa Kagera hawalisemei sana hili la vita ya Kagera na wala hawajui athari zilizotokana na vita. Lakini ukweli ni kwamba ile vita iliharibu uchumi wa raia sana ingawa serikali haijawahi kuchukua hatua za makusudi kuwasaidia wananchi kurudi katika hali zao.

Kwa hili la kupeleka mnara wa mashujaa mkoa mwingine wakati nembo ya vita ya Tanzania na Uganda iko Kagera ni kuukosea tena mkoa wa Kagera.
Kwa hiyo mnara ukijengwa Kagera ndio itaondoa umaskini wenu?

Naunga mkono hoja,mnara wa kumbukumbu ya mashujaa na viwanja vyake vingejengwa Kagera japo huenda Kuna hofu ya vita ikija kutokea tena mnara utaharibiwa.
 
Mm sikubaliani na ww. Kilimanjaro ilibahatika kuwa na viongozi ambao wameitengenza na ndo maendeleo kidogo unayoyaona. Mfano akina mzee Mramba (RIP). Hawa wamejenga mitandao ya lami na baadhi ya maendeleo. Pia ni mkoa ambao haujawahi kupitia vita kubwa kama ya Kagera

Zilitakiwa juhudi za makusudi kabisa za serikali kuurudisha ule mkoa katika mstari. Unaposema maprofessor wa kagera wabinafsi, unataka wao ndo wajenge stand? Unataka wao wajenge masoko? Unataka wao wajenge barabara? Je, hujui impact ya barabara, masoko na stand katika uchumi wa eneo?

Kuna muda pale Omukajunguti kulipangwa kujengwe uwanja mkubwa wa ndege kwa ajili ya kuunganisha chini jirani, serikali ya awamu ya tano ikaufuta. Unadhani ungejengwa ule uwanja si kungekuwa na fursa za ajira? Wewe uvivu gani unaouona kama miundombinu ya serikali ni mobovu?

Unataka wao ndo wajenge stand na soko Kagera? Mikoa mingine maprofessor wao ndo walijenga hiyo miondombinu mikoani kwao?

Mbona tumeona stands zikijengwa mikoa kibao na serikali, kwa nini siyo Kagera?
Miaka zaidi ya 40 bado mmelala mnalalamikia athari za vita.Kuna mambo ambayo wananchi mnaweza kuyafanya yakailazimisha serikali kuwekeza hiyo miundombinu unayoilalamikia.sasa kama wananchi uchumi wenu aueleweki serikali haiwezi kuwapa kipaumbele.Uchumi wa kweli ni ule unaoanza na watu,watu ndio watakaofanya uje uchumi wa vitu.
 
Back
Top Bottom