Kwa hili la Ben, CCM wasikose utu

Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana

Bado hujitambui, nina mashaka na kiwango chako cha ELIMU. Fikra zako zimekufa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…