habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Tanzania ni kisiwa cha AMANImm wananishughulisha zaidi wale maiti saba,walikufaje wote kwa pamoja na kufungwa mawe.
Tanzania ni kisiwa cha AMANImm wananishughulisha zaidi wale maiti saba,walikufaje wote kwa pamoja na kufungwa mawe.
Ujumbe wako umetimia nazan unaona yanayomkuta maxence meloKila nikimfikiria Ben nachanganyikiwa, Ben asipopatikana JF haitakuwa sehemu salama tena
Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.
Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???
Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.
Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.
Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??
Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.
Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Usijali hao ni watu walio pandikizwa jf na wanalipwa na chama gamba dhidi ya RAIA wema wa tzHizi tabia kuonyesha hadharani chuki dhidi ya upinzani italipeka pabaya Taifa hili.Nani ambaye hatafikiria upande wa pili kwa jinsi ya matamshi na matendo yao?Hata RCwa Dar naye kimya?
Nimekuelewa vizurimbuyu ulianza kama uyoga
Amen kubwaKila nikiona taarifa ya Ben,Roho inaumaa.tumbo linauma.na kama kuna mtu anafurahia hilo basi mungu ashughrike nae kadri apendavyo ila si kama nionavyo,Hakuna marefu yasiyo na ncha.
Una uhakika? Any proof?Ninahisi tuu japo sina hakika Ben yawezekana Usalama wa taifa wamehusika kumuangamiza jaman. Maana inatatiza sana
Kama humfahamu basi hata madai unayosema kaandika kada wa chadema hayatakua na maanaKuna thread imefutwa gafla katuma jamaa anajiita KADA.WA CHADEMA
Duuh kama kweli jinsi alivyo eleza Mbowr,huyo.katibu mkuu na mdada flan wanatakiwa wakahojiwe
Ila nauliza swali huyo ben saanane ni nani??
Alikuwa na.cheo gan zaid??
Simjui naomba.mnifahamishe wakuu
Hivi umesoma alicho.andika au??Kama humfahamu basi hata madai unayosema kaandika kada wa chadema hayatakua na maana
ok mkuu nimekuelewa. asanteHivi umesoma alicho.andika au??
Maana kaeleza fact hata humjui mtu kiusalama ni hatua nzur kufwata
Wamedelete sio mda mrefu,binafsi siasa sijui so nilipo soma ndio nikataka kujua nani haswaa huyu jamaaa??
Kwann kapotea??
So ungenijibu ni nani ktk chama.gan ningeunganisha dot
ukiona watu wanafanya jambo jua kuna sababu.Ubinadamu umetoweka kati yetu! yaani mapenzi ya vyama yanatufanya tuwe kama wanyama.
Nilishangaa kipindi kile alivyofariki Kapten John Komba na wengine wa CCM jinsi watu walivyokuwa wanashangilia hadharani, hata msiba wa mzee Samweli 6 watu walishangilia bila haya!