Kwa hili la Ben, CCM wasikose utu

Kwa hili la Ben, CCM wasikose utu

Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana
Sawa lakini yatakukuta ujue siku moja pia
 
Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.

Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???

Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.

Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.

Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??

Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.

Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Ben saanane anafanya kazi serikalini? Ni katibu wa magufuli? Au analala na polisi nyumbani kwake?

Mtuhumiwa wa kwanza katika swala la upoteaji wa ben saanane kama ni kweli hajajiteka ni Freeman Mbowe. Yeye ndio anayewajibika kwa kila kitu kwa kwa ben kwasababu ni mfanyakazi wake.

Jinsi mwenyekiti alivyohandle issue ya ben na jinsi chama kilivyochukulia hii issue ya ben inaonekana moja kwa moja kuwa Mbowe na Chadema wanahusika katika upoteaji wake.

Mbowe anatakiwa atueleze ni wapi alipompeleka ben saanane na atuambie kwanini hii issue ya ben kupotea imeshika kasi baada ya yeye kuondoka ?

Kelele zinazopigwa na Kina Malissa na umoja wao huo ni kujaribu kuipotosha jamii na kuficha maovu yaliyofanywa na chadema dhidi ya Ben Saanane.

Haingii akilini hata siku moja eti apotee Mwanachama yoyote yule maarufu wa CCM kwa mfano wassira then akalalamikiwe Chadema kuwa wamemteka.

Swala la ben ni la nyumba ya chadema na kumsingizia jirani tena asiyekuwa na mahusiano yoyote ya karibu na huyo ben ni kujaribu kuficha maovu au majanga mliyomfanyia.

Kwa issue inacyoenda inaonyesha hundrend percent chadema na viongozi wake ndio waliomdhuru ben na wao ndio wanajua wapi alipo.
 
mm wananishughulisha zaidi wale maiti saba,walikufaje wote kwa pamoja na kufungwa mawe.
Halafu wnaawaita wahamiaji haramu...kwaio wahamiaji haramu wakikimbilia nchi hii ndio sheria kuwa muwafanye vile??
Haya mara tena kuna uzi humu mtu anasema eti ..eti...imekua planned na chama chake...what nonsense...does it penetrate to the skull that for whatever stupid reasons you kill 7 innocent people all in the name of planned thing or create tension in the country
 
Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana
Unazo habari kuwa amejificha mwenyewe kweli?
Uzima wa mtu ni muhimu kuliko chochote
 
Ndio Watanzania hawa
Simshangai huyu anayejiota ELLI. Tangu niijue JF sijawahi kuona comment yake humu yenye mwelekeo wa ubinadamu. Nachelea kuamini huenda akawa sio mtu (maana niliwahi sikia kuna majini pia humu). Yeyote mwenye nyama na damu ipo siku tu ataonesha sympathy hasa kwa tulio kama hili. Kama mwenzetu ana mkataba na Mungu wa kuishi duniani eternally basi ana haki ya ku-behave upendavyo.
 
Samahani Elli. Ninemkusudia huyu anayejiita MLALAHOI, anayesema Ben amejiteka mwenyewe. Niwie radhi kwa kutokuwa makini kusoma jina la mtuma post.
 
Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana

Ngelechi, katika hayo mengi unayozani kama Taifa tunajishughulishab nayo ni pamoja na usalama wetu na kwa mtu mmoja mmoja. Hivyo, mimi naona mtoa mada ameeleweka suala la usalama halina itikadi tumeishi kabla ya vyama vya siasa, hata wewe ungekuwa umepotea tuna haki ya kuhojiana lazima upendo wetu kama Taifa utamalaki amina
 
[HASHTAG]#Tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG]
Hamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
 
Samahani Elli. Ninemkusudia huyu anayejiita MLALAHOI, anayesema Ben amejiteka mwenyewe. Niwie radhi kwa kutokuwa makini kusoma jina la mtuma post.
Amen, nilielewa kuwa umekosea. Pengine wenzetu huwa hawapatwi na matatizo bhana, wataishi milele
 
Hamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
Pamoja na udogo wake kwa taifa lakini bado haiondoshi ubinadamu wake, ni mtu ni mlipa kodi ana haki ya kuishi na kulindwa kama nilivyo mimi au wewe au ndugu zako
 
  • Thanks
Reactions: Mu7
Exc
Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.

Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???

Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.

Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.

Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??

Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.

Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Excellent!
Umenena vema. Asante sana!
 
Hamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
Kwa hiyo watu wadogo ndo huwa wanapotea ovyo? Unajitoa ufahamu kuandika mambo ya ajabu wakati huyu Ben ni binadamu kama.wewe na ana haki ya kuvuta pumzi kama wewe!

Nakuombea kabla Mungu hajakutoa duniani, mmoja kati ya wale unaowathamini na kuwapenda apotee kama Ben ili uonje maumivu.
 
Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.

Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???

Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.

Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.

Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??

Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.

Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Roho ngumu na roho mbaya haifundishwi ndani ya CCM , bali ni mtu huzaliwa nayo toka tumboni kwa mamaye na wakati mngine ni malezi alopitia udogoni. CCM imetokana na TANU, na moja kati ya zile ahadi kumi za Mwana TANU NI KUA BINADAMU WT NDUGU ZNG NA AFRIKA NI MOJA. Mungu Tusaidie.
 
Back
Top Bottom