Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,365
- 100,406
- Thread starter
-
- #21
Sawa lakini yatakukuta ujue siku moja piaAcheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana
Ben saanane anafanya kazi serikalini? Ni katibu wa magufuli? Au analala na polisi nyumbani kwake?Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.
Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???
Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.
Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.
Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??
Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.
Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Halafu wnaawaita wahamiaji haramu...kwaio wahamiaji haramu wakikimbilia nchi hii ndio sheria kuwa muwafanye vile??mm wananishughulisha zaidi wale maiti saba,walikufaje wote kwa pamoja na kufungwa mawe.
Unazo habari kuwa amejificha mwenyewe kweli?Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana
Ndio huyo, hatari sana akiwa nyuma ya keyboardBen si ndie huyu alieitisha serikali isipomtoa CDF ndani ya siku saba ataifanyia kitu mbaya
Uhai wa mtu ni wa thamani saanaNinahisi tuu japo sina hakika Ben yawezekana Usalama wa taifa wamehusika kumuangamiza jaman. Maana inatatiza sana
Simshangai huyu anayejiota ELLI. Tangu niijue JF sijawahi kuona comment yake humu yenye mwelekeo wa ubinadamu. Nachelea kuamini huenda akawa sio mtu (maana niliwahi sikia kuna majini pia humu). Yeyote mwenye nyama na damu ipo siku tu ataonesha sympathy hasa kwa tulio kama hili. Kama mwenzetu ana mkataba na Mungu wa kuishi duniani eternally basi ana haki ya ku-behave upendavyo.Ndio Watanzania hawa
Acheni upumbavu wenu kama Taifa tuna mambo mengi sana yakufikiria sio kuwaza siasa zenu za majitaka zakujiteka ili mpate kiki Nyumbu mnasumbua sana
Ngelechi, katika hayo mengi unayozani kama Taifa tunajishughulishab nayo ni pamoja na usalama wetu na kwa mtu mmoja mmoja. Hivyo, mimi naona mtoa mada ameeleweka suala la usalama halina itikadi tumeishi kabla ya vyama vya siasa, hata wewe ungekuwa umepotea tuna haki ya kuhojiana lazima upendo wetu kama Taifa utamalaki amina
Hamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.[HASHTAG]#Tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG]
Amen, nilielewa kuwa umekosea. Pengine wenzetu huwa hawapatwi na matatizo bhana, wataishi mileleSamahani Elli. Ninemkusudia huyu anayejiita MLALAHOI, anayesema Ben amejiteka mwenyewe. Niwie radhi kwa kutokuwa makini kusoma jina la mtuma post.
Pamoja na udogo wake kwa taifa lakini bado haiondoshi ubinadamu wake, ni mtu ni mlipa kodi ana haki ya kuishi na kulindwa kama nilivyo mimi au wewe au ndugu zakoHamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
ktk wajinga Mia wewe ni namba MojaHamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
Excellent!Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.
Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???
Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.
Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.
Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??
Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.
Tunakuombea Ben huko uliko!¡
Kwa hiyo watu wadogo ndo huwa wanapotea ovyo? Unajitoa ufahamu kuandika mambo ya ajabu wakati huyu Ben ni binadamu kama.wewe na ana haki ya kuvuta pumzi kama wewe!Hamna cha usalama wa taifa wala nini, wapuuzi tu hao cdm wanafikiri kila siku wanawaza siasa tu. Huyo Ben ana la maana lipi hadi usalama wa taifa uingilie?? Who's Ben to this country?? Ni mtu mdogooo sana, sio kila kitu ni siasa wandugu.
Roho ngumu na roho mbaya haifundishwi ndani ya CCM , bali ni mtu huzaliwa nayo toka tumboni kwa mamaye na wakati mngine ni malezi alopitia udogoni. CCM imetokana na TANU, na moja kati ya zile ahadi kumi za Mwana TANU NI KUA BINADAMU WT NDUGU ZNG NA AFRIKA NI MOJA. Mungu Tusaidie.Nawapongeza baadhi ya Wana CCM walioguswa na kutoweka kwa Ndugu Saanane, naamini sio kwamba ni kwa sababu wanamfahamu pengine lah ila kwasababu Ben ni binadamu kama Wewe na Mimi.
Hata hivyo nimeshangazwa na kuumizwa na asilimia kubwa sana ya baadhi ya Wafuasi, Makada na Wapenzi wa CCM wakifurahia au kuonyesha kufurahia kutoweka kwa Binadamu mwenzao. Nichukue fursa hii kwamba hakuna MTU mwenye damu ya chama, dini ya chama wala uhai wa chama. Sisi wote tunabaki kuwa ndugu, Leo hii tukifurahia baya la Ben kisa tu sio "mwenzetu" kesho tutafutwa machozi na nani??? Ben ni mdhambi kiasi gani cha kustahili dhihaka hizi za Wafuasi hawa???
Yamemkuta Ben Leo, hatujui yuko hai ama lah! Vyovyote vile lazima tusikubali au kuruhusu itikadi na mapenzi yetu ya vyama yatufikishe hapa. Wanetu watarithi nini? Chuki? Ubaguzi? Kamwe hatutabaki Salama, siasa zitapita Bali maisha yetu na undugu wetu utabaki hata baada ya vizazi na vizazi.
Naomba labda kwa namna ile ile ambayo tulilaani wale walioshangilia mauaji ya Polisi wetu kipindi kile hivyo hivyo tulaani na wana CCM hawa wachache wa mitandaonj Wanaona ni sawa kwa Ben kutoweashwa.
Kama yametokea kwa Ben na tukachekelea usisahau kuwa yanaweza kutokea kwako au kwangu pia. Ben ana ndugu, ana Marafiki, ana majirani ana damu na mwili kama wako na wangu. Ya Mungu mengi, nani anaifahamu kesho yake??
Kama Wewe unafanya hayo kwakua Uko chini ya mwamvuli wa chama Fulani basi jua wazi kuwa hayo hayo yatakuja kukupata au kuwapata ndugu zako hata baada ya Wewe kuondoka. Maumivu na vidonda hivi tunavyowasababishia wengine basi Mungu ni mwaminifu sana na hajawahi kushindwa, atalipa muda ukifika.
Tunakuombea Ben huko uliko!¡