AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Nashindwa kuelewa kwa nini BBC Swahili tawi la Tanzania wamekuwa namna hii, hii tabia yao ya kubagua wanafunzi wa field kutoka vyuo vingine na kukubali wa UDSM tu si sahihi,
Mnaua ndoto za vijana wengi wenye nia na hamu ya kufanya kazi BBC kama si kuongeza ujuzi zaidi kupitia shirika hilo, Mnafaa mjua si kila anayesoma UDSM basi ana quality za ziada za kujifua na idhaa yenu,
Wapo vijana wengi kwenye fani ya uandishi wa habari katika vyuo vingine vya kati na vikubwa lakini kwa kuwa mna utaratibu wa 'kibaguzi' unawafanya vijana hao wajikute wasifikie njozi zao,
Badilikeni bana
Mnaua ndoto za vijana wengi wenye nia na hamu ya kufanya kazi BBC kama si kuongeza ujuzi zaidi kupitia shirika hilo, Mnafaa mjua si kila anayesoma UDSM basi ana quality za ziada za kujifua na idhaa yenu,
Wapo vijana wengi kwenye fani ya uandishi wa habari katika vyuo vingine vya kati na vikubwa lakini kwa kuwa mna utaratibu wa 'kibaguzi' unawafanya vijana hao wajikute wasifikie njozi zao,
Badilikeni bana