Kwa hili, kweli chadema ni wasanii!!!

Kwa hili, kweli chadema ni wasanii!!!

safi sana msiyo yajuwa yatawasumbua ndio mahana tunawashushuaga yani mmeshindwa kununua vitambulisho vyao mmebidi muwapige mabom .mmekosa washauli kwenyechama chenu au sababu chama kinaitwa policcm pumbavu.
 
Wana-JF!

Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.

Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.

Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.

USANII UKO WAPI SASA?

Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!

Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.

Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?
maoni yenu ya hila yanaipaisha chadema.kwa nini usiseme Kikwete arudi kwani na yeye alikuwa safarini ina maana na yeye hakuguswa na yaliyotokea?
 
kazi ya polccm nimabom nakuteka tu .yakwenu yamewashinda mnafata yawatu mnawasiwasi mtaumbuka.
 
Mjinga wewe walikufa wangapi mtwara, bunge likaahiliswa huna adabu kabisa kwa walokufa Arusha.

Sasa nimbunge gani aliejipa mapumziko ya wiki nzima kwenda kwenye mazishi Mtwara?
 
Wana-JF!

Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.

Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.

Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.

USANII UKO WAPI SASA?

Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!

Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.

Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?

Mkuu ina maana wewe hujui kuwa mpango ulipangwa uwe hivyo? Bomu lilipuliwe Dr Slaa akiwa nje ili apate kuomba msaada vizuri na pili ionekane wanaonewa. Sasa unapouliza kwanini hakurudi hapo CDM hawawezi kukuelewa kabisa. Sio tu kurudi ulishasikia alichosema kuhusiana na bomu?
 
Leo utavuta posho ndefu kidogo umejarbu kutetea hoja yako. Utapata zaid ya buku 7 hongera!!
 
Sasa nimbunge gani aliejipa mapumziko ya wiki nzima kwenda kwenye mazishi Mtwara?


Tumia kanuni za bunge, omba muongozo kwa spika atakusaidia kama imekuuma makamanda kuuhudhulia msibani vinginevo wewe njaa inakusumbua
 
Sasa hapo usanii uko wapi? Hivi we unadhani Dr. Slaa ni Kikwete anayeishi airport?
Dr. Slaa alishawakilisha salamu.zake na yupo njiani anakuja.
Dr. Slaa akitamka neno moja wote mnatamani kuficha nyuso zenu, mara wengine mnatishia kwenda mahakamani!

Kwa taarifa yenu Dr. Slaa sasa anakuja na taarifa za kiintelijensia aliyopewa kutoka jikoni na baadhi yenu. Subirini zimwagwe humu nawaambia mtakosa pakujificha!

Baada ya kukosa umaarufu jukwaani mkaamua kuwa magaidi!!!!

Pumbavu zenu wauaji wakubwa nyie!

Kijana usikubali kufanywa ndondocha na CDM
 
Tumia kanuni za bunge, omba muongozo kwa spika atakusaidia kama imekuuma makamanda kuuhudhulia msibani vinginevo wewe njaa inakusumbua

Balali,

Kwani Dr Slaa sio kamanda? Mbona yeye hajahudhulia msiba?

Au yeye hajaguswa kama hao wabunge wa CHADEMA walivyoguswa? maana wabunge wameacha bunge kwa muda wa wiki nzima, ila Dr Slaa kuiacha Ulaya imemshinda!!
 
Last edited by a moderator:
HAMY D umegonga msumar wa kichwa washaanza kulalamika.wew huon hata mimacho ya (mzee wa casino)mbowe imekaa kisanii tu
mh!! duuu!! hivi kweli na wewe MARK nikujuavyo na utu uzima wako woote ulio nao unajidhalilisha kwa kuunga mkono hoja nyepesi kama hii jamani???au ndio kusema kwamba ufahamu wako unashuka Kadri siku zinavo zid kusonga ??MARK hii ni hoja ya kipumbavu sana hukustahili kujibu chochote kwa level yako coz kuna hoja huwa unajibu kisomi coz hoja nazo huwa ni za kisomi ila kwa hii unajidowngrade mkuu.
 
Kwani Dr Slaa sio kamanda? Mbona yeye hajahudhulia msiba?

Au yeye hajaguswa kama hao wabunge wa CHADEMA walivyoguswa? maana wabunge wameacha bunge kwa muda wa wiki nzima, ila Dr Slaa kuiacha Ulaya imemshinda!!

Muongozo wa spika unasemaje kuhusu walohudhuria msibani? unaushahidi Slaa anafanya nini huko, inamaana kama anatibiwa aache matibabu aje msibani. mbona hutumii akili wewe.
 
Muongozo wa spika unasemaje kuhusu walohudhuria msibani? unaushahidi Slaa anafanya nini huko, inamaana kama anatibiwa aache matibabu aje msibani. mbona hutumii akili wewe.

Kama wewe nae ni chadema basi chadema imejaa wehu!

Kumbe kiongozi anapokuwa ameenda nje kwa ajili ya matibabu uwa ina tangazwa ameenda ziarani?
 
Kama wewe nae ni chadema basi chadema imejaa wehu!

Kumbe kiongozi anapokuwa ameenda nje kwa ajili ya matibabu uwa ina tangazwa ameenda ziarani?


mambo ya ndani ya chama ccm unayataka ili ukafanye mauwaji. Na mda simrefu mtaingia kwenye kumi na mbili we bwabwaja tu hapa jukwaani. ukiingiza mguu panapostahili utafaham kwamba watanzania tumechoka na propaganda.
 
Hamy dada,kwa iyo muue dr slaa aje kuzika?je unajua division of labour au umekuja shule akina mungai wamejumlisha masomo yote kuwa somo moja,je jk amekwenda mazishi au kwa kuwa dr ndo alichaguliwa kuwa rais?je mkiwa mnaua dr aanze kushinda misiban nan atajenga chama?alaf unajiuliza kwenye mada yako eti -usanii uko wapi?...yani mpaka nawe unajiuliza,ww ungeweka projo zako vizur alaf wanajf tukaona wenyewe. Yule gaid wenu kwa nin anajaa kofia sare ya nchi nyingne?ni mhasi au utahaira?je kwanin pinda,chemba na nape anasema gaid ni cdm ila wazir wa nchi anapinga kwa kutangaza dau mil100? Mmeacha kuangalia bomu limerusha na nan?nan kapiga risasi kwenye tenki la gar ya cdm,nan alianza kurusha risasi za moto mbele ya wanamkutano waliokuwa wanaokoa waanga. Mnaanza kuandika ushetani wenu. Mshinde katika Mungu aliyeumba mbingu na dunia.
 
Mbona kikwete ajarudi na hili ni la taifa na yeye ni rais wa watu wote
 
Mwenye akili fupi hapa nani mkuu?

Dr Slaa ni kiongozi wa kitaifa wa CHADEMA, kama anafanyiwa matibabu ilipaswa taarifa itolewe kuwa kutakuwa na jambo hilo la matibabu kwa kiongozi huyo nje ya nchi, kukaa kwao kimya kunafanya watu wapate viulizo vingi juu ya nini hasa kinamuweka huko mpaka ameacha kujumuika na wenzake kwenye mazishi?

Kwani Kikwete anapokwenda kutibiwa huwa mnaambiwa?
 
Wana-JF!

Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.

Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.

Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.

USANII UKO WAPI SASA?

Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!

Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.

Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?

images

MUWAJI MPYA ALIYE LETWA KUWAUWA KUWAKANDAMIZA NA KUIMALIZA Z,BAR
Hakuna ambae anaweza kuiongoza zanzibar isipokuwa raisi muwaji kwa sasa na hapo nyuma ilikuwa pia na waliobakia wote wanajaribu kutaka kuingia madarakani kwa njia mbali mbali lakini nathubutu kusema hakuna hata mmoja ambae anaweza kuiongoza nchi hii kwa amani na utulivu zaidi ya raisi hawa wauwaji.
Kwanini nikasema hivi ,wengine watanishangaa ni kwa nini wasiweze kuiongoza zanzibar,zanzibar ina meno kuiongoza kwake sio sawa na kucheza msewe au lele mama au sunsu mia,zanzibar inaunguza.
Viongozi wote waliowahi kukaa madarakani wameondoka na roho za watu,tusitafune maneno ,wameua na baada ya kuua wamewapongeza wauwaji,ukitia kipande cha neno katika mauaji kwa kuyapa baraka na ikiwa wewe ni kiongozi basi inakuwa wewe mas-ul na ndio muuaji.
mzee Karume ameondoka na watu kadhaa wa kadhaa hawana idadi maalum na mpaka leo haikupatikana takwimu sahihi ya waliotangulia mbele ya haki katika utawala wake ambao aliwauwa.
Aboud Jumbe amewatanguliza makundi kwa makundi kuna kundi la waliohukumiwa miaka 10 ya kuchunga ngombe,akina salum ahmed na wenzake hawa walipata watu 20 kwa pamoja hawakuonekana tena mpaka leo.
Mheshimiwa Abdullwakil ameondoka na raia mmoja wa maandamano ya sofia kawawa na amewafunga wengine katika kesi za kubabikiziwa ,wengine wamepoteza macho katika kuona baada ya kuachiliwa.
Salmin ametanguliza watu kadhaa huko pemba nakubambikiza watu kadhaa kesi zisizo kichwa wala miguu hatimae wamepoteza macho kwa kuvunda rumande.
Karume mtoto amewatanguliza watu kadhaa pemba na unguja bila sababu zozote za msingi .
Mheshimiwa Ali Mhamed Shein tayari ameshatanguliza wawili na bado anataraji kuongeza idadi kutokana na mawaidha yake aliyoyatanguliza bwawani pia tukumbuke kuwa sasa analinda muungano kwa nguvu zote kwa hiyo tutarajie kuwa ataendelea kuwa na uchanguzi wa 2015 atataka kuka kwa nguvu kwa hiyo atauwa tena.
Sasa kweli ikiwa si CCM ambae anacho kibali cha kutanguliza wananchi wake mbele ya haki nani mwengine anaweza kujitokeza kumpinga CCM katika kutanguliza wananchi hao bila sababu za kimsingi na ikiwa hakuna ambae anaweza kuwatanguliza raia zake ina maana hawezi kupata uongozi wa nchi hii abadan.
Kila siku CCM wanasema nchi tumepata kwa mapinduzi na hatutoi kwa kalamu kama mnaweza mfanye mapinduzi ndio mpate nchi ,Suali yupo wa kufanya mapinduzi ? ikiwa yupo basi ataweza kupata kuiongoza nchi hii bila ya hivyo ,allahu aalam.
Hawa ndio wale waliosema(I appreciate to be honoured in hell ,rather than be dishonoured in heaven).
Sasa tuombeni dua kwani dua ni msingi wa ibada ,lakini kupata madaraka ya kuiongoza nchi inayonukia damu za wananchi halali wa nchi hii na wakaburuzwa kama kwamba si wananchi halali wa nchi hii na wakahalalishwa waliokuwa si halali na kuengwa engwa kwamba wao ni wananchi halali wa nchi hii ni habari tosha kwamba haki haipatikani,kama utaipinga CCM utakuwa huna mpya lakini ukiitukuza na wewe utatukuzwa.
Kipimo cha kiongozi wa nchi hii ni lazima uwe muuaji,mtesaji,myanyasaji na usiye na huruma na wananchi wako bila ya hivyo kaa upande na ikiwa huna sifa na uwezo wa kuwatanguliza wenzio mbele ya haki,hutaweza kudumu katika uongozi wako.
Ule uongozi wa busara,hekima ,mapenzi,uislamu
umeshapitwa na wakati toke alfu miatisa na hamsini,ulibakia ni wa manyanganya l-manyungunyu na
nipige kibao nikukate kichwa.
 
Back
Top Bottom