Wana-JF!
Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.
Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.
Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.
USANII UKO WAPI SASA?
Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!
Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.
Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?
Wana-JF!
Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.
Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.
Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.
USANII UKO WAPI SASA?
Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!
Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.
Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?
Sasa hapo usanii uko wapi? Hivi we unadhani Dr. Slaa ni Kikwete anayeishi airport?
Dr. Slaa alishawakilisha salamu.zake na yupo njiani anakuja.
Dr. Slaa akitamka neno moja wote mnatamani kuficha nyuso zenu, mara wengine mnatishia kwenda mahakamani!
Kwa taarifa yenu Dr. Slaa sasa anakuja na taarifa za kiintelijensia aliyopewa kutoka jikoni na baadhi yenu. Subirini zimwagwe humu nawaambia mtakosa pakujificha!
Baada ya kukosa umaarufu jukwaani mkaamua kuwa magaidi!!!!
Pumbavu zenu wauaji wakubwa nyie!
HAMY D umegonga msumar wa kichwa washaanza kulalamika.wew huon hata mimacho ya (mzee wa casino)mbowe imekaa kisanii tu
Wewe hujaona usanii hapo?, usijitoe ufahamu mambo yanavyo kufika maji shingo!
Kama wabunge wa chadema wameacha kujadili bajeti kuu ya serikali, ambalo ni jambo la kitaifa na wameenda kujumuika na wengine katika mazishi, iweje iwe ngumu kwa Dr Slaa anaesema ameguswa na tukio la mlipuko wa bomu kushindwa kushiriki kwenye mazishi?
Jeshi letu la polisi lingekuwa na Weredi mkubwa wa kufanya kazi wewe ilitakiwa wakutafute na wakutie nguvuni ili usaidie upelelezi wa Tukio la Bomu kwani tangu siku ya kwanza ya mlipuko kila siku hazipungui Thread 2 za kwako humu na zote zinaonyesha kuna kitu unachokifahamu juu ya ulipuaji ule lakini unajitahidi sana kutaka kuwapindisha watu wajikite kwenye upuuzi wako waache kujadili ukubwa wa tatizo.Wana-JF!
Kama mtakumbuka, wabunge wote wa CHADEMA hawakuweza kuhudhuria vikao vya bunge kwa wiki nzima hii kwa sababu kubwa kwamba wameguswa na tukio la mlipuko Arusha, hivyo iliwalazimu waende kwenye msiba wa wahanga kwenye ajali hiyo.
Kwa kuacha kwao kujadili bajeti kuu ya serikali, kwa mtu mwenye moyo wa huruma atasema kweli hili tukio limeathiri sana wabunge wa CHADEMA, na mtu anaweza kutoa credit kwa wabunge hao kuwa ni wazalendo.
Lakini kuna mtu mmoja ambae ni mkubwa kimadaraka huko CHADEMA, nae ni Dr Slaa, huyu yupo Germany kwa ziara anayoijua mwenyewe, lakini ni ukweli usiopingika kuwa bunge ni bora kuliko ziara ya Dr Slaa huko Germany, kwani bunge ni suala la kitaifa.
USANII UKO WAPI SASA?
Hapa unaweza kuona, kama kweli Dr Slaa ameguswa na tukio hili la mlipuko basi ni wazi angesitisha mara moja ziara yake na kuja kujumuika na wenzake katika mazishi!
Kama ambavyo wabunge wa CHADEMA walivyo jenga hoja kuwa, hawawezi kukaa bungeni huku chama chao kikiwa na tatizo hilo kubwa la mlipuko wa bomu.
Dr Slaa, kweli umeguswa na mlipuko wa bomu kama ulivyo eleza kwenye taarifa ya pole? kama ni hivyo, umewezaje kubaki Ulaya huku chama chako kikiwa kwenye wakati mgumu?
Kwa uandishi wako inaonyesha wewe si mwana-cdm, hivyo nakushauri kabla ya kukosoa na kunyoosha kidole kwa jirani hebu jiulize kwako ni salama? Kiongozi wako wa nchi mtalii, alishaahirisha mara ngapi kwa sababu kama hizo? Kosa halihalalishi kosa ila usiwe mvivu wa kufikiri.
mwenyeti yupo, makamu yupo, naibu katbu yupo, mnadhimu yupo sasa hapo kuna ulazima gani wa kuwepo DKt? Tuache siasa za kipuuzi watu wanataka walipuaji wachukuliwe hatua sio nan alihudhulia au hakuhudhuria..
Wewe ndio bomuuu, kama ishu ni uwakilishi, iweje Mbowe awaagize wabunge wote wa CHADEMA waende Arusha? kwanini asinge teua wabunge kadhaa wakawakilishe?
Uwe unafikiria angalau hata kidogo tu.