Kwa hili Godbless Lema unakosea

Kwa hili Godbless Lema unakosea

Nasikia kuna maspika makubwa yanapitisha mji wa ARUSHA yakiwa yamerekodiwa sauti ya aliyekuwa mbunge wao Godbless Lema akihamasisha kesho kutakuwa na mkutano wa kiuanaharakati kuanzisha mapinduzi. Kwa mimi nahisi kama kuna ukweli wa hili CDM mmefika mbali tuliangalie kwa jicho la tatu

Unaendeshwa na hearsay..? Do u believe in hearsay..? Na neno mapinduzi walielewa vipi wewe..?
 
Kwani mapinduzi ya kuiondoa ccm ni dhambi, Yah inabidi yafanyike mapinduzi kuanzia ndani ya mioyo ya watu hadi kwenye siasa kuchukua nchi.
 
Nasikia kuna maspika makubwa yanapitisha mji wa ARUSHA yakiwa yamerekodiwa sauti ya aliyekuwa mbunge wao Godbless Lema akihamasisha kesho kutakuwa na mkutano wa kiuanaharakati kuanzisha mapinduzi. Kwa mimi nahisi kama kuna ukweli wa hili CDM mmefika mbali tuliangalie kwa jicho la tatu
Narrow thinking
 
haya xaxa ndo panic attack disorder lema calm down acha na wenzio wajaribu we uliweza kuangusha tembo kwa bua nw nw 2nataka tuone na wenzio jinsi ngamia anavyoweza penya tundu la sindano
 
Hivi MAGAMBA wangeshinda ARUMERU MASHARIKI tungeweza kutengua matokeo yao kwa matusi yaliyotumiwa na baadhi ya wapambe!

BABATI imekuwaje...Mpango mkakati wa MAGAMBA utashindwa kabla haujaanza...
 
Wakuu,
Mnamshangaa nini mleta mada?
Mwanzilishi wa maneno haya NI MIZENGO KAYANZA PETER PINDA....
Alisema kuwa hii kitu inayoitwa PEOPLES POWER INAUDHI SANA KUISIKIA MASIKIONI!
Sasa huu ni mwanzo tu...mapinduzi yataanzia Arusha, kama unaona kero HAMA MJI, hamia huko IKUNGULYAMBIGILO.
 
Nasikia kuna maspika makubwa yanapitisha mji wa ARUSHA yakiwa yamerekodiwa sauti ya aliyekuwa mbunge wao Godbless Lema akihamasisha kesho kutakuwa na mkutano wa kiuanaharakati kuanzisha mapinduzi. Kwa mimi nahisi kama kuna ukweli wa hili CDM mmefika mbali tuliangalie kwa jicho la tatu

mbwa ukishamjua jina lake wala hausumbuki, sasa hapo Lema kakosea nini?
 
Lema si Mbunge, anaitisha mkutano kama nani?
 
there you go again josephine,politics is just like a war,ni bora lema ambae ni muwazi na anatangazia umma kwa uwazi(kama kweli anafanya hivyo)kuliko hao wanaotumia mbinu za kujasusi wakisaidiwa na dola,sauti ya lema ni sauti ya mtu aliaye nyikani

great!!
 
Nasikia kuna maspika makubwa yanapitisha mji wa ARUSHA yakiwa yamerekodiwa sauti ya aliyekuwa mbunge wao Godbless Lema akihamasisha kesho kutakuwa na mkutano wa kiuanaharakati kuanzisha mapinduzi. Kwa mimi nahisi kama kuna ukweli wa hili CDM mmefika mbali tuliangalie kwa jicho la tatu

jicho la tatu litakuwa lipi sasa,uafahamu siasa?
 
Ifike mahali CDM waelewe jamani watu wanatakiwa wafanyekazi na wala sio bize na mikutano

Kwani umekatazwa kufanya kazi?we nenda kazini na watakaona wanahamasika na mkutano wataenda mkutanoni,usiwasemehe watu au kuingia akilini mwao,na isitoshe waendao mkutanoni ni watu waelewa na ni timamu kabisa
 
Lema si Mbunge, anaitisha mkutano kama nani?
Aisee sikuhizi JF inavamiwa na mbumbumbu kweli,
hata hii katiba yenye viraka inaruhusu kukusanyika na kutoa maoni. Mkuu si mbunge pekee ana haki hiyo.
 
Lema hakosei, ww ndo unaekosea kwa kufikiri mapinduzi ni ya kumwaga damu tu au lazima ushike silaha. Lema anafanya mapinduzi ya kifikra ili mtanzania wa kawaida ajielewe na afanye maamuzi stahiki.

Mimi nashindwa kukuelewa kuwa ni kweli unaogopa au unafaidika na mfumo kandamizi usiojali utu wetu?? Na kama kweli unaogopa, je unaogopa nini hasa??
 
Nayaelewa kama yalivyo lakini haya sasa ni ya kigaidi



Hello!

Kaa mbali saa mbaya!

We unategemea nini baada ya hili lililofaywa na mafisadi?
Unafikiri uanaharakati ni mpira wa mikono?

Twafadhali sana! Kaa CHONJO saa mbaya!

Ni mpk kieleweke Josephine03!
 
Back
Top Bottom