Ifike mahali CDM waelewe jamani watu wanatakiwa wafanyekazi na wala sio bize na mikutano
Kafanye kazi wewe sisi tutaenda kwenye mikutano, kakae oficin na magamba wenzako acha sisi tukomboe nchi yetu kwanza then tutafanya kazi tukiwa huru.
Ifike mahali CDM waelewe jamani watu wanatakiwa wafanyekazi na wala sio bize na mikutano
unaogopa nini josephine?hakuna jipya bongo,ya ccm hujayajua?
Nayaelewa kama yalivyo lakini haya sasa ni ya kigaidi
nikweli mkutano si mbaya bali jinsi unavyohamasisha watu yaani unawajengea chuki zaidi ya kuwapa picha iliyopo
me and 30m people's likes thisJosephine03,
..mbona chama chenu kinaitwa Chama cha Mapinduzi?
Nasikia kuna maspika makubwa yanapitisha mji wa ARUSHA yakiwa yamerekodiwa sauti ya aliyekuwa mbunge wao Godbless Lema akihamasisha kesho kutakuwa na mkutano wa kiuanaharakati kuanzisha mapinduzi. Kwa mimi nahisi kama kuna ukweli wa hili CDM mmefika mbali tuliangalie kwa jicho la tatu