kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa, ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira bora ya kazi.
Ona mchezaji mkubwa Clatous Chama wa Simba, sasa hivi huku hayuko na kule hayuko, amebaki kuwa mtazamaji tu wa mechi za kimataifa kama wengine akina sisi. Yaani hachezi mechi za kimataifa za Simba wala za Berkane FC na umri unazidi kumtupa mkono.
Kufanya uamuzi wa aina hii kunahitaji ubongo uliovurugwa kabisa kiasi cha kuhitaji wataamu wa afya ya akili.
Ameamua kurudi kwenye ligi yenye changamoto nyingi sana za viwanja, waamuzi na management. Nadhani hakupata ushauri wa kutosha kabisa.
Ona mchezaji mkubwa Clatous Chama wa Simba, sasa hivi huku hayuko na kule hayuko, amebaki kuwa mtazamaji tu wa mechi za kimataifa kama wengine akina sisi. Yaani hachezi mechi za kimataifa za Simba wala za Berkane FC na umri unazidi kumtupa mkono.
Kufanya uamuzi wa aina hii kunahitaji ubongo uliovurugwa kabisa kiasi cha kuhitaji wataamu wa afya ya akili.
Ameamua kurudi kwenye ligi yenye changamoto nyingi sana za viwanja, waamuzi na management. Nadhani hakupata ushauri wa kutosha kabisa.