Kwa muda mrefu timu ya Simba imekuwa inavutana na mchezaji wake clatous Chama lakini imeshindwa kumfukuza kutokana na jinsi media zimekuwa zikivumisha kuwa mchezaji huyo anahitajiwa na klabu ya Yanga. Simba imekuwa ikipiga mikwala mizito isiyo na athari. Ninavyoamini mimi ni kwamba kusingekuwa na promo ya kumuhusisha na Yanga hakika leo hii angeshafukuzwa.
Na watu wameendeleza kukoleza hizo Drama kwenye social media hasa pale chama anapokuwa kwenye mgogoro na timu yake hali inayoifanya Simba kuwa wanyonge/kushindwa kuchukuwa maamuzi magumu dhidi ya Chama.
Chama una kila sababu ya kushukuru hizi Drama za media. Maana Simba inaposikia eti Chamba anahitajiwa na Yanga inapata KIHARUSI.
Na watu wameendeleza kukoleza hizo Drama kwenye social media hasa pale chama anapokuwa kwenye mgogoro na timu yake hali inayoifanya Simba kuwa wanyonge/kushindwa kuchukuwa maamuzi magumu dhidi ya Chama.
Chama una kila sababu ya kushukuru hizi Drama za media. Maana Simba inaposikia eti Chamba anahitajiwa na Yanga inapata KIHARUSI.