Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,588
- 188,805
Habari Wapenda Soka.
Nawashauri Watani Zangu Simba Sc Maana Naona Wamechanganyikiwa Na Mikiki Mikiki Ya Mashindano Yote.
Wameanza Kuwasimamisha Wachezaji Wao, Na Hiyo Ni Dalili Kama Ambayo Mfa Maji Hakosi Kutapatapa. Na Kutapatapa Kwao Wamemsimamisha Mwamba Wa Lusaka Triple C (Clatous Chota Chama).
Sasa Mimi Nawashauri Vyema Kabisa Kumuweka Nje Ya Uwanja Kwa Muda Usiojulikana Kwa Mchezaji Kama Yule Ni Kuendelea Kuua Kiwango Chake Ambacho Mlikuwa Mkimsujudu Kila Kukicha Pale Msimbazi.
Hivyo Basi Mleteni Young Africans Kwa Mkopo Mwisho Wa Msimu Mje Kumchukua Najua Itawafunza Kidogo Ili Mfahamu Adhabu Mliyompa Iwe Positive Kwa Mchezaji Na Atawasaidia Akirudi.
Watani Mmechanganyika Mmekuwa Kama Mfa Maji Hakosi Kutapatapa.
Nawasilisha Kwenu Wanazengo Na Wapenda Soka Wote.
Nawashauri Watani Zangu Simba Sc Maana Naona Wamechanganyikiwa Na Mikiki Mikiki Ya Mashindano Yote.
Wameanza Kuwasimamisha Wachezaji Wao, Na Hiyo Ni Dalili Kama Ambayo Mfa Maji Hakosi Kutapatapa. Na Kutapatapa Kwao Wamemsimamisha Mwamba Wa Lusaka Triple C (Clatous Chota Chama).
Sasa Mimi Nawashauri Vyema Kabisa Kumuweka Nje Ya Uwanja Kwa Muda Usiojulikana Kwa Mchezaji Kama Yule Ni Kuendelea Kuua Kiwango Chake Ambacho Mlikuwa Mkimsujudu Kila Kukicha Pale Msimbazi.
Hivyo Basi Mleteni Young Africans Kwa Mkopo Mwisho Wa Msimu Mje Kumchukua Najua Itawafunza Kidogo Ili Mfahamu Adhabu Mliyompa Iwe Positive Kwa Mchezaji Na Atawasaidia Akirudi.
Watani Mmechanganyika Mmekuwa Kama Mfa Maji Hakosi Kutapatapa.
Nawasilisha Kwenu Wanazengo Na Wapenda Soka Wote.