Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,350
- 3,011
Ulikuwa sahihi sana.Nitazisema tu baadae na wala usijali na labda kwa Kuanza nalo tu kuna Kesi ya ' Forgery ' kuhusu Saini ya Morrison ambayo itaondoka na Mtu Jela.
Ulikuwa sahihi sana.Nitazisema tu baadae na wala usijali na labda kwa Kuanza nalo tu kuna Kesi ya ' Forgery ' kuhusu Saini ya Morrison ambayo itaondoka na Mtu Jela.
Sasa hivi manyani wanakukumbuka wanatamani hata uwe kiongozi wao maana umemshinda akili hata yule professor waoNitazisema tu baadae na wala usijali na labda kwa Kuanza nalo tu kuna Kesi ya ' Forgery ' kuhusu Saini ya Morrison ambayo itaondoka na Mtu Jela.
Tumia akili mwafrika kuitwa nyani unadhani wewe Mikia umepona nyani ni tusi linalotumiwa Ulaya kuwaita waafrika nyani je wewe si mwafrika acha kujitoa ufahamu
Jamaa anatumia nguvu nyingi ya kutaka sokwe, nyani, mbwa na uneducated kuwa tusi la waafrika wakati walioambiwa wanaelewekaNi kweli Mimi GENTAMYCINE ni Mwafrika na siyo yule Mwafrika Mshabiki wa Yanga SC ambao wameitwa Sokwe Mbwa na Nyani na Kocha Wao Luc.
Jamaa anatumia nguvu nyingi ya kutaka sokwe, nyani, mbwa na uneducated kuwa tusi la waafrika wakati walioambiwa wanaeleweka
Ukitaka kujua wanawadanganya angalia idadi ya wachezaji wa kigeni watakaosajili kama watakuwa kumi pamoja na Morison au pungufu na morisonNgoja waende huko CAS ( FIFA ) wakatoe 'Sadaka' na Pesa yao ya 'Mawazo' kisha warudi Bongo hii ( Tanzania ) Kichwa chini na Aibu tele tu Mkuu.