tukiacha unafiki japo madaraja hayajapanda lakini utawala huu uhakika wa mshahara upo tena kwa wakati si kama utawala uliopita, watu walikua na malimbikizo ya mishahara awamu ilopita lakini yameshughulikiwa vizuri
hakuna utawala usio na changamoto kwa hiyo kutopanda madaraja ndo changamoto ya utawala huu