Niaje home boyMalisa na hizi "social narcissism" bwana...
I know mtaji wa kisiasa unatafutwa,aint nuttin' else!
Katika hiyo kutafuta huo mtaji wakisiasa kama unaleta mchango chanya katika jamii ni swala zuri kuliko mtu anaetukana watu ovyoMalisa na hizi "social narcissism" bwana...
I know mtaji wa kisiasa unatafutwa,aint nuttin' else!
Waliona itawaumbua. Walimuweka Meko NaKenyata kwenye category moja sasa naona Meko anapitwa tu wakaamua wafungie mbali kabisahiyo link naona wameshaifunga.
I'm in my top-drop black Maseratti....whaduuuuup man?
Umetumia maneno makali, ila hoja yako ni fikirishi..Nina shida na "motive" mzee
Shida ni "MOTIVE" tu....
Nikujenga persona ya savior,ili ajenge political capital,sio kwamba yeye ni Mother Teresa wa huu ulimwengu,I dont believe that nonsense!
Natukana ndio mimi ni mwanadamu na kutukana ni kazi ya mwanadamu,I do exactly a human being is supposed to do,sasa unashangaa nini?
Ni political technique ya kujijengea mtaji,it is well known mzee!
Mimi nime-state the fact,sio kama nataka kumshusha kwenye hustle yake,nimeweka bayana tu...
Hii picha ya kwamba yeye ni malaika anataka kuijenga kwenye jamii sio true,behind it kuna political capital anajijengea,and thats true!
Asanidie yeyote who cares?Nataka kujua motives mamaeee
🤣🤣🤣🤣
Home boy Wyatt Mathewson yeye namkubaligi
Naaam mtu hatari sana akiamua kupasuka anapasuka haswaHome boy Wyatt Mathewson yeye namkubaligi
Maana hafagili mtu wala kumletea mtu shobo
Yeye nyekundu nyekundu nyeusi nyeusi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu hapo, huyo jamaa ni mjinga mkubwa Ila anatumia matatizo ya watu mama mtaji wa kupata attention
Imejam it wapo kwenye marekebisho nimeona Malisa kapost kwenye IG yakeHiyo link naona wameshaifunga.
nimefanikiwa now kuingiaImejam it wapo kwenye marekebisho nimeona Malisa kapost kwenye IG yake