MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
KUTOKA NDANI YA CHUO KIKUU CHA DODOMA-(UDOM) Taarifa za ndani ya Chuo hicho zinasema kuwa Uongozi wa Serikali ya Wanafunzi Unakabidhiwa kwa Vijana wa Kazi-CHADEMA baada ya mipango ya kuwaengua wanachama wa CHADEMA Kugonga mwamba. Duru ya kwanza ya uchaguzi ilimalizika hapo jana tar 30/05/2012 baada ya vijana wa kazi kuchukua nafasi nyingi za ubunge mpaka ma-block leader. Muda mfupi ujao nafasi za U-rais, makamo wa rais na marais katika ngazi za vyuo yatatangazwa ambapo dalili zaonyesha wazi kuwa C.C.M waliopandikiza vijana wao sasa wanapumulia mashine. C.C.M kwa heri UDOM!
Tayari matokeo yametangazwa. Vidole viwili hewani
Tayari matokeo yametangazwa. Vidole viwili hewani