TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Someni watoto, wanaowatumia wamesoma!
acha ujinga sio kila wanaosoma ni watoto kuna wazee tupo vyuoni usitutukane
Someni watoto, wanaowatumia wamesoma!
Hongeren japo sio vizur kugombea vioni kwa itikad ya vyama! Pale ni katba ya wanafunzi ndo inayoprevail na sio chama! So sikubliana na wanafunz kua na mtizamo wa kivyama vya siasa wakat wanawatafta viongz!
TAARIFA ILIYOTOKA SI YA KWELI
ccm udom inasonga mbele na kwa taarifa yako wagombea wote wa uraisi ni ccm kwanzia federation mpka collage level
KUTOKA NDANI YA CHUO KIKUU CHA DODOMA-(UDOM) Taarifa za ndani ya Chuo hicho zinasema kuwa Uongozi wa Serikali ya Wanafunzi Unakabidhiwa kwa Vijana wa Kazi-CHADEMA baada ya mipango ya kuwaengua wanachama wa CHADEMA Kugonga mwamba. Duru ya kwanza ya uchaguzi ilimalizika hapo jana tar 30/05/2012 baada ya vijana wa kazi kuchukua nafasi nyingi za ubunge mpaka ma-block leader. Muda mfupi ujao nafasi za U-rais, makamo wa rais na marais katika ngazi za vyuo yatatangazwa ambapo dalili zaonyesha wazi kuwa C.C.M waliopandikiza vijana wao sasa wanapumulia mashine. C.C.M kwa heri UDOM!
si vizuri mkuu mbona kama kunaharufu ya udini hapa!
TAARIFA ILIYOTOKA SI YA KWELI
ccm udom inasonga mbele na kwa taarifa yako wagombea wote wa uraisi ni ccm kwanzia federation mpka collage level
Ndugu yangu huu mtizamo wako ni finyu. Kwa taarifa tu, hawa kina Mh.Zitto, Mnyika, Mbatia nk walianza kuwa-practice politics tangu chuoni na ndiyo maana wamejengeka kwa kiasi hiki. Vilevile katika maisha ya kawaida huwezi itupa siasa, ndiyo maana wote wenye umeishiwa stahiki na akili timamu tunapiga kura,,tunatoa maoni nk. Tunategemea intellectuals washiriki kikamilifu katika siasa maana wanafikiri maono mapana na uamuzi yakinifu. NB: Kigumu ni kuwa kiongozi wa kisiasa, ila wote wenye umeishiwa wa kuanzia miaka 18 na wenye akili timamu, tunaweza kuwa Wanasiasa bora bila pingamizi.Someni watoto, wanaowatumia wamesoma!
Someni watoto, wanaowatumia wamesoma!
Someni watoto, wanaowatumia wamesoma!
Kumbe UDOM ni CCM vs CDM, na sio chtristians Vs :fencing:?