Kwa heri bwana Martin Shigela

Kwa heri bwana Martin Shigela

Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?

Hatuwezi kutarajia Chochote kutoka Magambani Full Stop so Haituhusu
 
waaaaa kishigera kirijifa ktk kipindi cha DW nahapo bwana HECHE lilimbwaga kikujenga Hoja basi shigera kapumzike
 
Hakuna chochote nilichojifunza
Mkuu sawa kabisa, ila mimi nimejifunza kwamba hakuna mtu hovyo duniani kama huyu jamaa anayeondoka, ila kwa huyu ma'donkey' jina lake linafanana kama mbeba madawa ya kulevya isije ikawa wakubwa wa biashara ndo wamempeleka hapo. Otherwise nafikili ma'donkey' atakuwa mtendakazi mzuri kuliko huyu msomi feki, asiyejua hata Tanzania ni nini na ilitokana na nini.
 
Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa CCM mkoa wa Morogoro Bwana Sixtus Mapunda ameteuliwa kuchukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Martine Shigela (Katibu Mkuu UVCCM), je vijana kuna lolote tulilojifunza kutoka kwa kaka Shigela na je bwana Mapunda ni kijana wa aina gani, je ataweza misukosuko ya siasa za leo?
ila Kidevu chake kilikuwa na ukoko wa bagia mpka mimi nilikuwa nikidhani kuwa ni katibu wa jumuia ya wazazi/ wazee wa chama cha magamba.
 
watajuana wenyewe ma.....la hao! M4C yatoshaaa sana
Yani hata aje malaaika kutoka mbinguni ccm haitakombolewa ndani ya mikono ya chama makini CDM kwani M4C ni mpango mzima wa mjini na vijijini. CDM yatosha magamba yamenitesa sana
 
Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa CCM mkoa wa Morogoro Bwana Sixtus Mapunda ameteuliwa kuchukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Martine Shigela (Katibu Mkuu UVCCM), je vijana kuna lolote tulilojifunza kutoka kwa kaka Shigela na je bwana Mapunda ni kijana wa aina gani, je ataweza misukosuko ya siasa za leo?

Pole sana mleta mada kwa majibu dry ya wana jf juu ya mada husika. Hii inadhihirisha jinsi jamii na watanzania kwa ujumla walivyochoshwa na upuuzi wa chama cha magamba.
Maoni yangu mimi juu ya hii mada ni kwamba ulimwengu utambue nguvu na ushawishi alonao fisadi Lowasa ndani ya chama chao kwani hawa wateule wa jana walowengi wanatoka kambi yake. Mfano mzuri ni bwa Sixtus Mapunda ambaye bila kificho ni pete na kidole na Lowasa kwani ndo kamsaidia tangu kuwa katibu uvccm mkoa wa dsm, kuwa msaidizi wa Nape, kaimu katibu mkoa mrgr na mpaka kuukwaa ukatibu uvccm taifa. Ni kijana mwenye ushawishi mkubwa na mpiga debe hasa. Ana pr nzuri na anajichanganya haswa kwa kila rika ila afurukuti kwa mamvi. Yuko kambi moja na Beno malisa, na Ntimizi mwkt uvccm dsm.
 
Hata wakifanya panga pangua hatma yao imewadia kwa kasi. Ami amin nawaambia hawataponyoka katika anguko la kisiasa
 
Back
Top Bottom