Kwa heri bwana Martin Shigela

Kwa heri bwana Martin Shigela

mwanima shinyanga mpoooooooo martiny shigela kwishney hotahe.
 
sijaona cha kujifunza kutoka kwa hawa vijana
wote wamelowa damu ya ufisadi,unafiki,wizi wa mali za umma,kulindana,kuogopana nk
sasa tujifunze nini kwao? labda kama unapenda nawe kuwa na tabia kama zao......
 
Kama kuna kitu utajifunza toka kwa hawa wajomba ni wizi tu la sivyo labda ukubari akili ndogo itawale akili kubwa!
 
nimejifunza kuwa green guard si lazima uwe na umri kama wa shigela
 
Shigela kiongozi shupavu alisimamia mageuzi kwenye uvccm big up
 
Si nia yangu kuwaudhi watu lakini nimemwonea huruma, almtukana Dr kumbe leo angepata pa kukimbilia tuu. Ndo maana nikawambia karibu Dr hana shida naye, hatulipizi visasi,
 
Hadi 2015 mtandao wote wa E.L utakua umefutwa katika uso wa Dunia
 
mfa maji haachi kutapatapa watabadisha mpaka wakome, M4C MWENDO MDUNDO MKAPA KIELEWEKE
 
sasa mbona huyu Mapunda wamempa muda mfupi sana ? Miaka miwili tu ! Atafaidi nini sasa ? 2015 wanang'oka na ndiyo basi tena ! Dah ! Noma sana aisee !
 
Hivi shegela naye kijana?magamba hayajui vijana nini?
Ukoo wa mapanya kazi mnayo kweli..
 
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?

katoka babu kaingia mtu mzima
 
Back
Top Bottom