Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,094
wewe ulikua hujui?
sidhani kama huwa wanaumia wanapoukwaa u-dc au u-RC
wewe ulikua hujui?
Duh... hii mpya.Tutarajie mapunda kutengeneza vipunda vingine vidogo vyakusafirisha bidhaa mpya ya magamba.SEMBE
Tumejifunza jinsi alivyokuwa bingwa wa kutoa pumba, nadhani alikuwa hafikiri kabla ya kuongea, alikuwa anakuwa nje ya maada most of the time, anaulizwa hiki anajibu kingiine!Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?
Expect more of the same.Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?
Shigela alituhumiwa kuwa mtu wa Lowasa, na Mapunda alitengenezwa na Rostam (tafakari)Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa CCM mkoa wa Morogoro Bwana Sixtus Mapunda ameteuliwa kuchukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Martine Shigela (Katibu Mkuu UVCCM), je vijana kuna lolote tulilojifunza kutoka kwa kaka Shigela na je bwana Mapunda ni kijana wa aina gani, je ataweza misukosuko ya siasa za leo?
Karibu kwetu cdm Shigela
Wapi Juliana Shonza? Wapi Mtela Mwampamba?
sasa mbona huyu Mapunda wamempa muda mfupi sana ? Miaka miwili tu ! Atafaidi nini sasa ? 2015 wanang'oka na ndiyo basi tena ! Dah ! Noma sana aisee !