Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Kwanza ni upumbavu kuweka makada katika serikali, ndiyo maana hatuwezi kupata mabadiliko ya MFUMO.Ni kawaida viongozi wa CCM wanapokutana na mauzauza ndani ya chama pendwa CCM basi hujiweka kando kwa kuhamia Chadema.
Ilikuwa hivyo kwa Lowassa, Sumaye, Mwita Waitara, Dr Mollel nk nk. Na hao wote walipokelewa kwa shangwe Chadema.
Haitashangaza iwapo Ole sabaya atafuata utaratibu huo na ni wazi Chadema watampokea, watamsamehe na kumsafisha
Kazi Iendelee!
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app