Miaka 45 ya CCM: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA ndio wanaongoza kwa kujiunga CCM ukilinganisha na wapinzani wengine

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
96,556
169,312
Wakati tarehe 05/02/2022 CCM itasherehekea miaka 45 tangu kuasisiwa pia kitawashukuru wanachama wa Chadema waliouona mwanga na kuamua kujiunga na chama tawala.

Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani.

Mfano wa viongozi wa juu wa Chadema waliovutiwa zaidi na CCM ni pamoja na Amani Kabirou rip, Dr Slaa, Tambwe Hiza, Dr Mashinji, Mwita Waitara, Cecil Mwambe, Dr Gekui, Patrobas Katambi, Juliana Shonza, Dr Mollel, Dr Lijualikali, Dr Joshua Nassari, David Silinde nk...nk.

Viko vyama makini vya upinzani ambavyo vinaiunga mkono CCM bila wanachama wake kuhamia Lumumba kwa sababu ya kuendekeza njaa, vyama hivyo ni pamoja na TLP, NCCR, Cuf na ACT wazalendo.

Mungu wa mbinguni awabariki CCM.

Mungu wa mbinguni akibariki Chama Tawala.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bwashee Dr Bagonza anasema sumu haiui mara mbili Bananga alikuwa ccm akaokoka akaja CHADEMA pepo la kijani likampitia sombetini akarudi kwny upagani CCM unawezaje kusema huyo mtu kahama CHADEMA? 98% ya uliowataja walikuwa ccm na wamerudi kilingeni kwao
 
Bwashee Dr Bagonza anasema sumu haiui mara mbili Bananga alikuwa ccm akaokoka akaja cdm pepo la kijani likampitia sombetini akarudi kwny upagani ccm unawezaje kusema huyo mtu kahama cdm?? 98% ya uliowataja walikuwa ccm na wamerudi kilingeni kwao
Mwenyewe anaujua ukweli vzr
 
FHs3KxuXEAMVeO4.png

Ccm bhana sijui wanatuonaje .
 
Bwashee Dr Bagonza anasema sumu haiui mara mbili Bananga alikuwa ccm akaokoka akaja CHADEMA pepo la kijani likampitia sombetini akarudi kwny upagani CCM unawezaje kusema huyo mtu kahama CHADEMA? 98% ya uliowataja walikuwa ccm na wamerudi kilingeni kwao
Kwa hiyo unataka kumaanisha chadema Safi lazima azaliwe humohumo akitokea ccm ni kirusi?
 
Wote
Wakati tarehe 05/02/2022 CCM itasherehekea miaka 45 tangu kuasisiwa pia kitawashukuru wanachama wa Chadema waliouona mwanga na kuamua kujiunga na chama tawala.

Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani.

Mfano wa viongozi wa juu wa Chadema waliovutiwa zaidi na CCM ni pamoja na Amani Kabirou rip, Dr Slaa, Tambwe Hiza, Dr Mashinji, Mwita Waitara, Cecil Mwambe, Dr Gekui, Patrobas Katambi, Juliana Shonza, Dr Mollel, Dr Lijualikali, Dr Joshua Nassari, David Silinde nk...nk.

Viko vyama makini vya upinzani ambavyo vinaiunga mkono CCM bila wanachama wake kuhamia Lumumba kwa sababu ya kuendekeza njaa, vyama hivyo ni pamoja na TLP, NCCR, Cuf na ACT wazalendo.

Mungu wa mbinguni awabariki CCM.

Mungu wa mbinguni akibariki Chama Tawala.

Maendeleo hayana vyama!

Wote hao walikuwa CCM na wamerudi huko
 
Back
Top Bottom