johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,556
- 169,312
Wakati tarehe 05/02/2022 CCM itasherehekea miaka 45 tangu kuasisiwa pia kitawashukuru wanachama wa Chadema waliouona mwanga na kuamua kujiunga na chama tawala.
Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani.
Mfano wa viongozi wa juu wa Chadema waliovutiwa zaidi na CCM ni pamoja na Amani Kabirou rip, Dr Slaa, Tambwe Hiza, Dr Mashinji, Mwita Waitara, Cecil Mwambe, Dr Gekui, Patrobas Katambi, Juliana Shonza, Dr Mollel, Dr Lijualikali, Dr Joshua Nassari, David Silinde nk...nk.
Viko vyama makini vya upinzani ambavyo vinaiunga mkono CCM bila wanachama wake kuhamia Lumumba kwa sababu ya kuendekeza njaa, vyama hivyo ni pamoja na TLP, NCCR, Cuf na ACT wazalendo.
Mungu wa mbinguni awabariki CCM.
Mungu wa mbinguni akibariki Chama Tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani.
Mfano wa viongozi wa juu wa Chadema waliovutiwa zaidi na CCM ni pamoja na Amani Kabirou rip, Dr Slaa, Tambwe Hiza, Dr Mashinji, Mwita Waitara, Cecil Mwambe, Dr Gekui, Patrobas Katambi, Juliana Shonza, Dr Mollel, Dr Lijualikali, Dr Joshua Nassari, David Silinde nk...nk.
Viko vyama makini vya upinzani ambavyo vinaiunga mkono CCM bila wanachama wake kuhamia Lumumba kwa sababu ya kuendekeza njaa, vyama hivyo ni pamoja na TLP, NCCR, Cuf na ACT wazalendo.
Mungu wa mbinguni awabariki CCM.
Mungu wa mbinguni akibariki Chama Tawala.
Maendeleo hayana vyama!