tunataka chimbo sio habari za kushindana mkuu..Unataka chimbo la nguo na viatu au unataka ushindani wa nani ni nani?!
Atoe habari za moshi maana zmetawala uzi kila mkoa kuna soko la mtumba wakija wambeya hapa watasema moshi ghali kwao ni nafuu na soko ni kubwa zaiditunataka chimbo sio habari za kushindana mkuu..
Daah kwaio bado watu wanavaa mitumba hadi Disemba 2019?
Tanzania nzima Kahama kwa vitu vizuri vya mtumba wanaongoza kuanzia nguo na viatu
Hahahaha kwaio mtumba haupauki? Ulinunua vunja bei auNdio twavaa.
Niliwahi nunua nguo 70 ikapauka
Mkuu wewe endelea kuvaa mikorosho ndio saizi yako....labda unambie wewe wa kishua unaagiza vitu direct online.Daah kwaio bado watu wanavaa mitumba hadi Disemba 2019?