Kwa hali hii ilivyo daaah nime give up

Kwa hali hii ilivyo daaah nime give up

Kusini pride

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,762
Reaction score
4,071
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aise.

Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseee.

Samahanini nimeandika kwa sababu niko na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
 
Kama ulioa kwa ajili ya tamaa ya ngono utaoa sana
 
Vijana mkiambiwa msioe mnaona kama mnapigiwa kelele....

Sasa umelikoroga lazima ulinywe...
 
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aiseee

Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseeee.


Samahanini nimeandika kwa sababu ako na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
Tungekwambia huyo demu unayemchukua ni kimeo ungetutukana sana na kutuona sisi mafala.

Mkuu hilo ni zigo lako. Sisi tunaendelea kunyandua wake zetu na tuna enjoy kwa kwenda mbele
 
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aiseee

Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseeee.


Samahanini nimeandika kwa sababu ako na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
'...ako na stress...'. Wewe ni Mkenya?

Vijana wengi mnakosa miongozo au hamtaki ushauri ama mnashauriwa vibaya. Umri wa kuoa mi miaka 40, ndipo kijana wa kiume anakuwa amekomaa kiakili sawasawa. Kumaliza shule na kukimbilia kuoa matokeo yake ndiyo hayo. Maana unakuwa hujui hata umefuata nini kwenye ndoa.
 
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aise.

Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseee.

Samahanini nimeandika kwa sababu niko na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
Ni jana tu ulizama ukeni

Anyway pole mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom