Kusini pride
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,762
- 4,071
Kwa hali yenyewe ya ndoa kama ndipo ipo hivi aisee nahisi ku give up mapema saaa aise.
Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseee.
Samahanini nimeandika kwa sababu niko na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
Nilihisi ndoa ni kunyanduana tu na kucheka cheka aiseee.
Samahanini nimeandika kwa sababu niko na stress ila nitapambana tu kwasababu nimetoa mahela na nimejulikana ukweni.
ngoja niendelee kusoma tena labda nitaelewa
zangu tayari, mkuu mbona imekuwa ghafla sana 