Kwa habari zilizonifikia, nyeti na zilizotoka jikoni kwao muda si mrefu ni kwamba.....

kweli january makamba kawachanganya vijana wa ccm mmeanza tweetr mmekuja na huku bt wote huku niwasomi jaribu fb na instagram

Umbea tu...anajifanya eti kapat yaarfa nyeeti wakt huo mkutano watu tuna taarfa nao mda mref na umeoneshwa live......au unatak tumpe vyeo kwa kuandka wa kwanza???
 
Mtoa Mada Hana hoja CCM ndio wenye vikao vya kuwaomba wafanyabiashara wawape hela na sasa hata hela hawana ndio maana hata campaign hazitafanyika majimbo yote magufuli atafika tu kwenye maeneo makubwa ya miji
 
Unajua huyu GENTAMYCINE ana glean information za TISS,TISS wenyewe hawajitambui maana wapo makundi,kuna kundi lipo UKAWA na kuna kundi lipo ccm,so habari aliyoleta hapa ni kweli kuna harambee ila si kweli kuwa UKAWA tumeishiwa pesa,pesa zipo nyingi za kutosha hiyo harambee imeitishwa kama kiini macho cha kui fool ccm,na kwa kuwa wana akili ndogo sana wanaamini kuwa kweli tumeishiwa,halafu si kweli kwamba eti Germany na Finland zimepigwa mkwara na ccm,ccm inayonuka umaskini kama kinyesi cha binadamu ina uwezo gani wa kuyapangia mataifa hayo tajiri cha kufanya?Mtoa uzi ni juha sana,mataifa hayo ndo yamekata msaada kwa serikali chafu ya ccm kwa ufisadi eti leo yapigwe mkwara kusaidia Chadema na kisha yaogope,hakuna kitu kama hicho,ccm,TISS na serikali wamechanganyikiwa maana kila wanalopanga gizani linaibukia kwenye nuru,hivi wamebaki kunyosheana vidole wao kwa wao hawaaminiani tena huyu mtoa uzi huwa anatumwa tumwa na TISS,hajui kuwa 60% ya vigogo wa ccm wapo UKAWA wanam fool JK na hajui.
 
Rejea ratiba ya kampeni ya Mgombea Urais wa CHADEMA [UKAWA] ndio utajua yupo DSM kwa ratiba au kaishiwa hela za kampeni.
 
JF bwana! Mara ooh hujui kizungu mara ooh sikutaki.
Sie yetu masikio ila tar 25 oct lazima nichinje mtu.
 
Sema wachagga wameshaamua.

Watu tulio wengi zaidi ya wachagga hatutamchaguwa Lowassa - kumbuka hilo.

Ndugu mtz . Acha chuki na ukabila na udini. Ukitaka hvyo, ondoka tuachie nchi yetu salama. Tukianza kupigana Mwenyezi Mungu aanze na mtoto wako na familia yako yote kwanza na ndipo utakapojua ulimi ni sumu. Huna la kuchangia kaaa kimya.
 
Ukiona mtu anashabikia kutetea mfumo WA sasa uendelee kuwepo madarakani atakuwa fisadi,mtoto WA fisadi,ndugu WA fisadi , ananufaika na mfereji WA kifisadi au akili yake imeganda hajui nini maana ya maendeleo makubwa.
lowasa atatuletea maendeleo makubwa ambayo hayajatokea tangu 1961.
Nimeumia Leo Ethiopia wamefungua treni za umeme kuondoa kero za usafiri, Rwanda wananunua madege makubwa,Kenya wanaendelea na ujenzi wa reli ya Kasi toka mombasa kwenda uganda,Mozambique wanafungua miradi mikubwa ya gesi,bandari,umeme nk
nigeria wanajenga refinery ya mafuta ili wapate mafuta kwa bei nafuu.Tusipoleta mabadiliko tukadanganywa na mafisadi basi ndio bye bye tutalala usingizi WA moja kwa moja bila kuamka tukitawaliwa na mafisadi na vibaraka wao.
 
Ss tunaotaka mabadiliko tutachangia, ww baki na serikali yko ambayo munachangisha pesa kwa wananchi ya madawati siku ya siku pesa inaliwa na wachache. PRAPAGANDA ZAKO PELEKA LUMUMBA UKAPEWE BOOK 7.
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)
RATIBA YA MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA
MUUNGANO WA TANZANIA 2015
tarehe mkoa wilaya muda maelezo
29/8/2015 dar es salaam wilaya zote saa 1.00 asubuhi hadi 12.00 jioni uzinduzi wa kampeni kitaifa
iringa
30/08/2015 mufindi saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mufindi mjini
kilolo saa 5.30 hadi saa 7.00 mchana mkutano utafanyika ilula
isimani na
kalenga
saa 8.00 hadi saa 9.30 alasiri mkutano utafanyika kalenga
iringa mjini saa 10.30 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika mwembetogwa/mlandege
31/08/2015 njombe makambako saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano utafanyika makambako
ludewa saa 5.30 hadi saa 6.30 mchana mkutano utafanyika ludewa mjini
njombe kusini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika njombe mjini
1/09/2015 ruvuma peramiho saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano utafanyika madaba
nyasa saa 5.30 hadi saa 6.30 mchana mkutano utafanyika nyasa
mbinga saa 8.00 hadi 9.00 alasiri mkutano mbinga mjini
songea saa 10.30 hadi saa 12 jioni mkutano songea mjini
02/09/2015 tunduru saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano tunduru
namtumbo saa 5.30 hadi saa 7.00 mchana mkutano namtumbo mjini
02/09/2015 rukwa sumbawanga saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano sumbawanga mjini
03/09/2015 nkasi saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano utafanyika namanyere
03/09/2015 katavi mlele saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika mlele
mpanda saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika mpanda mjini
04/09/2015 kigoma uvinza saa 3.00 4.30 asubuhi mkutano utafanyika uvinza
kigoma vijijini saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano kigoma kaskazini
kigoma ujiji saa 8.30 hadi 10.00 jioni mkutano utafanyika ujiji
05/09/2015 tabora sikonge saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika sikonge mjini
urambo saa 6.00 hadi 7.30 mchana mkutano utafanyika urambo mjini
tabora mjini saa 9.30 hadi saa 12.00 jioni mkutano utafanyika tabora mjini
06/09/2015 nzega saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika nzega mjini
igunga saa 5.30 hadi saa 7.00 mchana mkutano utafanyika igunga mjini
07/09/2015 dar es salaam kinondoni saa 5:00 hadi 7:00 mchana mkutano kufanyika bunju
saa 9:00 hadi saa 12:00 jioni mkutano utafanyika kibamba
08/09/2015 morogoro ulanga saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mahenge
kilombero saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika ifakara
kilosa saa 9.00 hadi 11.00 alasiri mkutano utafanyika mikumi
09/09/2015 kilosa saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika turiani
mvomero saa 5.00 hadi saa 6.30 mchana mkutano utafanyika dumila
morogoro vijijini saa8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika ngerengere
morogoro mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika morogoro mjini
10/09/2015 gairo saa 3.00 hadi saa 4.30 asubuhi mkutano utafnyika gairo
10/09/2015 dodoma kongwa saa 5.30 asubuhi hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika kibaigwa
mpwapwa saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika kibakwe
mpwapwa saa 10.30 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika mpwapwa
11/09/2015 dodoma vijijini saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mvumi
chamwino saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika chamwino
bahi saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika bahi mjini
dodoma mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika dodoma mjini
12/09/2015 kondoa saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika kondoa mjini
singida ikungi saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika ikungu mjini
singida mjini saa 10.30 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika singida mjini
13/09/2015 singida vijijini saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika singida kaskazini
mkalama saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika mkalama
iramba saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika iramba magharibi
14/09/2015 shinyanga kahama saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika kahama mjini
kishapu saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika kishapu
shinyanga vijijini saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika solwa
shinyanga mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika shinyanga mjini
15/09/2015 simiyu maswa saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika maswa mjini
bariadi saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika bariadi mjini
busega saa 9.30 hadi 11.00 jioni mkutano utafanyika busega mjini
16/09/2015 geita mbogwe saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mbogwe
bukombe saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika mbogwe mjini
chato saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika chato mjini
geita mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika geita mjini
17/09/2015 geita saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika busanda
kagera biharamulo saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika biharamulo mjini
ngara saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika ngara mjini
18/09/2015 karagwe saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika karagwe mjini
muleba saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika muleba mjini
bukoba mjini saa 9.00 hadi saa 12.00 jioni mkutano utafanyika bukoba mjini
19/09/2015 nkenge saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika nkenge
misenyi saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika misenyi
bukoba vijijini saa 8.00 hadi 10.00 alasiri mkutano utafanyika bukoba vijijni
20/09/2015 dar es salaam kigamboni saa 3:30 hadi saa 6:00 mchana mkutano utafanyika kigamboni
mbagala saa 7:00 hadi 9:00 alasiri mkutano utafanyika zakhem
ukonga saa 10:00 hadi 12:00 jioni mkutano kufanyika pugu
21/09/2015 mtwara newala saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika newala mjini
tandahimba saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utanyika tandahimba mjini
mtwara vijijini saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika nanyamba
mtwara mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika mtwara mjini
22/09/2015 masasi saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika ndanda
masasi saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika masasi mjini
23/09/2015 lindi liwale saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika liwale mjini
nachingwea saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika nachingwea mjini
kilwa saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika kilwa kaskazini
kilwa saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika kilwa kusini
24/09/2015 lindi vijijini saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mtama
lindi mjini saa 5.30 hadi 7.00 mchan mkutano utafanyika lindi mjini
25/09/2015 pwani mafia saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mafia mjini
rufiji saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika ikwiriori
mkuranga saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika mkuranga mjini
kisarawe saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika kisarawe mjini
26/09/2015 bagamoyo saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika bagamoyo mjini
bagamoyo saa 5.30 hadi 7.00 mchan mkutano utafanyika chalinze mjini
kibaha vijijini saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika mlandizi
kibaha mjini saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika kibaha mjini
27/09/2015 pemba pemba saa 3:00 hadi saa 7:00 mchana mkutano utafanyika tibirinzi
27/09/2015 unguja unguja saa 10:00-saa 12:00 jioni mkutano utafanyika kibanda maiti
28/09/2015 tanga mkinga saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika mkinga
muheza saa 5.30 hadi 7.00 mchana mkutano utafanyika muheza
pangani saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika pangani
tanga jiji saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika tanga jiji
29/09/2015 lushoto saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika bumbuli
korogwe vijijini saa 5:30 hadi 6:30 mchana mkutano unafanyika mombo
korogwe mjini saa 8.00 hadi 9.30 alasiri mkutano utafanyika korogwe
handeni saa 10.00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika mkata
30/09/2015 kilindi saa 3:00 hadi 5:00 asubuhi mkutano kufanyika kilindi
handeni saa 5:30 hadi 7:00 mchana mkutano kufanyika handeni
01/10/2015 dar es salaam temeke saa 5.30 hadi 7.00 mchana mwembe yanga
ilala saa 8.00 hadi 9.30 alasiri segerea
kinondoni saa 10.00 hadi 12.00 jioni tanganyika packers
02/10/2015 manyara kiteto saa 3.00 hadi 4.30 asubuhi mkutano utafanyika kibaya mjini
simanjiro saa 6:00 hadi 8.00 mchana mkutano utafanyika orkesmet mjini
babati vijijini saa 10.00 hadi 12:00 jioni mkutano utafanyika magugu
03/10/2015 babati mjini saa 03.00 hadi 04:30 asubuhi mkutano utafanyika babati mjini
hanang saa 6.00 hadi 8:00 mchana mkutano utafanyika katesh
mbulu saa 10:00 hadi 12.00 jioni mkutano utafanyika mbulu
04/10
 
Mi nafikili jf sasa tuanze kufanya usaili wa akili coz kuna ma std 7,form 4 and form 6 namana chuo yalifika chuo kwa mkumbo kwa ongezeko la vyuo Tanzania kazi zao ni kuposti vitu visivyokua na kichwa wala mguu
 
Muda Wowote Mchana Huu MATAJIRI Wa KIHINDI Na KIARABU Wameombwa KUKUTANA Na VIONGOZI WAANDAMIZI Wa CHAMA KIMOJA CHA UPINZANI CHENYE KIHEREHERE NA AMBACHO KIMEUNDA UMOJA WAO BATILI Na Wa KINAFIKI Maeneo Ya Kati Ya BAHARI BEACH au MBEZI BEACH Kuweza KUFANYA KIKAO CHA KUSAIDIA KUCHANGIA Pesa Hicho Chama Na Huo UMOJA Wao KWANI MPAKA HIVI SASA ( LEO ) HII Huyo MGOMBEA Wao Na Huo UMOJA WAO UMESHATUMIA ZAIDI Ya Tsh BILIONI 47 Na PESA IMEKATA Na NDIYO MAANA ILI KUTAKA KUFICHA AIBU HII ILIBIDI RATIBA YA HUYO MGOMBEA WAO IBADILISHWE GHAFLA NA WEEKEND HII AWEPO JIJINI DAR ILI WAKATI ANAWADANGANYA WANA DAR ES SALAAM KTK KAMPENI ZAKE HUKU VIONGOZI WENGINE WANATAFUTA PESA Kwani KAMA FEDHA HAZITAPATIKANA KUNA UWEZEKANO HUYO MGOMBEA WAO AKATEMBEA NA MIGUU KUTOKA DAR HADI GEITA KISHA MWANZA ANAPOTAKA KWENDA Pindi Akimaliza KUTEMBEZA BAKULI Dar.

POLENI SANA UJANJA MWINGI KUMBE MBELE KIZA. SIJAWAHI KUTOA TAARIFA HUMU ISIWE 99.9999% NA UKWELI au Hata CHEMBECHEMBE Za UKWELI Na NAJIAMINI 100%. HIYO HELICOPTER YENU SASA MTAJAZA MKOJO BADALA YA MAFUTA ILI IPAE ANGAZI KWANI MIRIJA YENU YOTE YA KUPATA PESA WANAMUME WAMEZIBA ( Wazaramo Wanasema Juu WANAKUDELE Na Chini WANAKRACHI ) Na Zile Nchi Kubwa Mbili WANAOWAFADHILI Germany Na Finland Nao WAMESHAPIGWA Biti La UHAKIKA Na Hamna Sehemu Ya Kukimbilia Sasa Labda Muwaombe Hela MAMA NTILIE, MADEREVA BODABODA Na WAMACHINGA.

Nitawapeni Updates Za Hicho KIKAO Japo Nasikia Wapo Wengine WAMECHOMOA Kwani Wamesema WAMEINGIWA Na MASHAKA KUWA Huyo WANAEMTOLEA MICHANGO KUZUNGUMZA TU HAJUI Na KWAMBA AKIZUNGUMZA Sana Basi Ni Dakika 3 Na Kama AKIZIDISHA Dakika 15 Itabidi Daktari Awepo Karibu Kumpiga Zile Sindano Zake Nne ( 4 ) Za GANZI.

Msemaji wa chama cha mashetani katika ubora wake
 
Back
Top Bottom