Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Hii sasa sio nzuri kwa ustawi wa jamii. Sababu vinasaba huathiri sana malezi na makuzi ya watotoDah ni sawa DNA ni muhimu ila ma dna yenyewe cku izi ni kama siasa kwa sbb,,,unakuta kuna mababa wawili wanagombea mtoto afu mnakwenda ktk dna mnaanza kuulizwa maswalimaswali mpaka inafahamika anayekaa au aliyelea mtt ni nani kisha utackia tu mtoto anapewa yule mlezi ingawa c wa kwake lakini ataambiwa dna inasema mtoto ni wako.