imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,040
Teuzi zinawarusha fahamu š¤£Nina hakika hata ujikombe vipi ulisha dharauriwa kwani ulishaonekana wewe ni debe tupu!
Teuzi zinawarusha fahamu š¤£Nina hakika hata ujikombe vipi ulisha dharauriwa kwani ulishaonekana wewe ni debe tupu!
Msengemanyoya dadadadekiMkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization, tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Mkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization, tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Huyu hata alambe kwato zao hawezi teuliwa!Teuzi zinawarusha fahamu š¤£
Diaspora akionekana anachangia tu basi passport atanyanganywa na visa hataruhusiwa kuina ndugu zake Tz. Tumefikia siasa za kikoloni chini ya utawala wa Magufuli.KIM KARDASH,
Mkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization,
tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Watu mnaoipenda chadema mlio nje hususan Marekani mnatakiwa kukisaidia chama kwa kufanya fundraising kukisaidia chama kulekea kwenye uchaguzi, nilizungumza na kiongozi mmoja alinipigia akiniomba nisaidie kufanya mobilization jukumu ambalo kwangu peke yangu naona ni gumu ndio maana nimelileta hapa nikiamini naweza kupata watu wawili watatu ambao watasaidia kubuni mpango mahsusi wa namna ipi bora ya kuifanya hiyo fundraising iwe successful na kuhakikisha inakwenda kufanya lengo lililokusudiwa,pia kuhakikisha watakaojitolea hawatambuliki kama watapenda kutotambulika.
Shime wana chadema ,chama kitajengwa na wanachama,cuf walifanya sana hizi harambee miaka ile kutokea nchi mbalimbali na ndio zilikua zikiipa cuf jeuri ukiacha ruzuku.Niko tayari kushare contacts zangu na za viongozi wa chadema to the right people.
Nawasilisha
Mnasema hivyo hivyo halafu mnapukutikaMzee wewe zilishapendwa bora ukae kimya!
Ila kaka P unabidii kweli
Hapo pasco lowasa umenivunja mbavuNaendelea kuchukua mawazo then nitaya wasilisha kunako husika,pasco lowassa nakushukuru sana mkuu,mwanakijiji wengi bado tuko pamoja kwenye tank la fikra ukiacha wenzetu kina kina makonda,bashe,kafulila na wengine waliopata teuzi mbalimbali
How do win electionsKIM KARDASH,
Mkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization,
tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Mjue kabisa intelejensia inafanyakazi vizuri kwenye mikutano ya wapinzani tu, ya viongozi wa chama dola intelejensia haifanyikazi yaani mikutano ya upande wa upinzni polisi wanaizuia wakati wowote wakijisikia kufanya hivyoKIM KARDASH,
Tutalijadili kwenye kikao tutakachokaa Jijini Texas mwezi ujao mwanzoni
Kwanini wewe sio muumini wa vyama vingi yaani unavyoviongeleaga vyama vingi ni kama magaidi fulani...shame on you PascalKIM KARDASH,
Mkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization,
tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Huo upuuzi hawawezi kutufanyia tukiwa nje ya nchiHow do win elections
Mjue kabisa intelejensia inafanyakazi vizuri kwenye mikutano ya wapinzani tu ya viongozi wa chama dola intelejensia haifanyikazi yaani mikutano ya upande wa upinzni polisi wanaizuia wakati wowote wakijisikia kufanya hivyo
Wasukuma kwa ulozi na ramli mnajitahidi.Ni ajabu mwandishi nguli kuwa yahaya kwa sababu tu ndugu yake ameigeuza nchi kuwa military state.Mtu gani mwenye akili timamu akasoma ramli,kazi ya uandishi pamoja na mambo mengine ni kuinfluence positive issues kwa jamii na sio kukatisha tamaa.Ni utafiti gani unaokupata mamlaka ya kuwaamlia wapiga kura chama kitakachoshinda kinyume na katiba?Your sense of reasoning is always naive and dramatic!KIM KARDASH,
Mkuu Kimu Karadashi, kwanza asante kuiombea Chadema fedha za send off, lakini kwa the political landscape ya siasa za Tanzania kwa sasa, hakuna diaspora yoyote wa kuichangia Chadema as Tanzanians diaspora community collectively by mobilization,
tena sijui hata ni Mtanzania gani huko diaspora mwenye guts za ku mobilize michango kwa Chadema!, bali Watanzania wana diaspora wenyewe mmoja mmoja, individually, tena ni wale waliojilipua, ndio waichangie Chadema send off money, uchaguzi wa 2020 ni CCM only and only CCM!.
P
Mkuu Juha Sokololo, if this makes you happy, be happy!.
Ubarikiwe Sana!
P.
Ila P watu wengi hawakusomi between the lines! Hawakuelewi! Me nakuelewa sanaMkuu Juha Sokololo, if this makes you happy, be happy!.
Ubarikiwe Sana!
P.
Mkuu LW, JF was meant to the home of great thinkers, lakiniIla P watu wengi hawakusomi between the lines! Hawakuelewi! Me nakuelewa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wanatumia akili za kuvukia barabara 'they think this platform is for ferry stories''Mkuu LW, JF was meant to the home of great thinkers, lakini
Kiukweli humu JF, tuna vilaza wengi kiliko tunavyojidhania
P